Kamanda wa Urusi aliuawa kwenye lile shambulizi la kambi ya Black fleet, Crimea

Kamanda wa Urusi aliuawa kwenye lile shambulizi la kambi ya Black fleet, Crimea

Kichwa cha jenero kuliwa ni breaking news mjomba. Hiyo fleet imesumbua sana hapo Black Sea. By the way, meli ya Ukraine iliyosheheni ngano imevuka salama jiandae kula maandazi na chapati.
Kamanda yupo hai
 
Kamanda kafa Warusi wanaonyesha video za kitambo za Kamanda alipokua hai ni kama walivyokataa kuhusu kifo cha Prigozhin baadae wakaja kukubali hii ni aibu kubwa kwa Russia makamanda kufa kama wadudu..
 
Kamanda kafa Warusi wanaonyesha video za kitambo za Kamanda alipokua hai ni kama walivyokataa kuhusu kifo cha Prigozhin baadae wakaja kukubali hii ni aibu kubwa kwa Russia makamanda kufa kama wadudu..
Acha uongo weka hapa picha ya jenez au kaburi lake Kawa sababu prigozhin tuliona kila kitu.nyie team NATO hamna akili ndo maana kila habari hata habari fake mnachukua.
 
Makamanda wa Urusi waliofia Ukraine wazidi kuongezeka, kumbe na huyu alifagiwa humo humo na lile kombora ambalo lilichakaza kambi yote na kuua wanajeshi wengi sana na kulipua kila kitu.....

Commander of the Russian Black Sea Fleet Vice-Admiral Viktor Sokolov salutes during a ceremony in Sevastopol

Commander of the Russian Black Sea Fleet Vice-Admiral Viktor Sokolov salutes during a send-off ceremony for reservists drafted during partial mobilisation, in Sevastopol, Crimea September 27, 2022. REUTERS/Alexey Pavlishak/File Photo Acquire Licensing Rights
KYIV, Sept 25 (Reuters) - Ukraine's Special Forces said on Monday that Admiral Viktor Sokolov, the commander of Russia's Black Sea Fleet, had been killed in a Ukrainian attack last week on the fleet headquarters in the Crimean port of Sevastopol.
Sokolov hata jana alikua kikao

Nadhani amefufuka kamuueni tena....
 
Nyie wasapoti nato ndo maana hamna akili mnaleta habari ya uongo.ukiona mtu anasapoti nato ujue hana akili.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hebu ona Hii Halafu tuone Akili yako!
[emoji116][emoji116]
Beberu mrusi ni mbaya zaidi kuliko beberu Nato!
Ref; Vita yetu na Uganda alimuuzia ndege Vita idi amini akatuuzia Sisi heat seeking missiles!
Tulipo ishiwa hizo silaha tulimwendea kutaka atuuzie mwingine!; akataka Hard cash au tukubali kuingia Naye mikataba mgumu!
Wakati huo ndege alizompa idi amini zikawa zinatamba Mwanza visiwa vya saa name!
Lengo lake ilikuwa ni ku-balance Vita iwe endelevu ili auze silaha Zake!
Kukosa busara ya Nyerere kuomba silaha tulizozihitaji Msumbiji na Algeria na kupewa ile Vita ingekuwa endelevu!
Ref Tena yaliyomkuta Samora Machel [emoji134][emoji24]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom