emanuel goa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 522
- 585
Kamanda yupo haiKichwa cha jenero kuliwa ni breaking news mjomba. Hiyo fleet imesumbua sana hapo Black Sea. By the way, meli ya Ukraine iliyosheheni ngano imevuka salama jiandae kula maandazi na chapati.
Acha uongo weka hapa picha ya jenez au kaburi lake Kawa sababu prigozhin tuliona kila kitu.nyie team NATO hamna akili ndo maana kila habari hata habari fake mnachukua.Kamanda kafa Warusi wanaonyesha video za kitambo za Kamanda alipokua hai ni kama walivyokataa kuhusu kifo cha Prigozhin baadae wakaja kukubali hii ni aibu kubwa kwa Russia makamanda kufa kama wadudu..
Sokolov hata jana alikua kikaoMakamanda wa Urusi waliofia Ukraine wazidi kuongezeka, kumbe na huyu alifagiwa humo humo na lile kombora ambalo lilichakaza kambi yote na kuua wanajeshi wengi sana na kulipua kila kitu.....
Commander of the Russian Black Sea Fleet Vice-Admiral Viktor Sokolov salutes during a send-off ceremony for reservists drafted during partial mobilisation, in Sevastopol, Crimea September 27, 2022. REUTERS/Alexey Pavlishak/File Photo Acquire Licensing Rights
KYIV, Sept 25 (Reuters) - Ukraine's Special Forces said on Monday that Admiral Viktor Sokolov, the commander of Russia's Black Sea Fleet, had been killed in a Ukrainian attack last week on the fleet headquarters in the Crimean port of Sevastopol.
Ukraine says Russia Black Sea Fleet commander killed; no comment by Moscow
Ukraine forces said that they had killed Moscow's top admiral in Crimea along with 33 other officers in last week's missile attack on the headquarters of Russia's Black Sea Fleet in Sevastopol.www.reuters.com
Picha alizoonyesha Putin ni fake!Fake newz kamanda huyo hai na anaendelea na shughuli zake.hivi nyie wasapoti nato mbona hamna akili mnaleta habari za uongo
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hebu ona Hii Halafu tuone Akili yako!Nyie wasapoti nato ndo maana hamna akili mnaleta habari ya uongo.ukiona mtu anasapoti nato ujue hana akili.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app