Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.