NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Hata Chadema wakipata madiwani na wabunge, mwendo ni uleule,kuunga mkono juhudi mwanzo mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole lakini nilikuwa nina comment kuhusu hicho kimombo '........ whether way you will see it ........'pointi yangu kubwa ni unahitaji watu wengi iwezekanavyo! hautakiwi kubagua, haiwezekani unategemea kura za watu alafu useme pumba na mchele, wote ni wapiga kura pumba na mchele wote wanapiga kura
Alifukuzwa ukuu wa mkoa wa Arusha hawezi kupewa Jimbo la Arusha mjini. Alisimamia zoezi la kugilisika na kuibiwa fedha maduka ya kubadilisha fedha mjini Arusha. Statute kazi nyingine au akachunge mbuzi kwao.arusha Ina wenyeweViongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.
Tupe picha ya mikutano ya GamboViongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.
Hivi mbona hamjifunzi enyi vilaza wa Lumumba? CHADEMA sio Mbowe, LIssu, Mnyika au hao wapuuzi mnaowanunua kila kukicha.. CHADEMA ni watu na Imani kama zilivyo imani nyingine! Nunueni hata Lissu CHADEMA bado itabaki kama ilivyoViongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.
Hongera zao hawakuwa wa kwanza na hawatakuwa wa mwishoViongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo
Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.
Kweli upumbavu na ukilaza ni kipaji,umetunukiwa.Elewa mantiki usirukie hoja kama umebanwa na tumbo la kuharisha. Huyo bwana aliongelea kutopitishwa kwa katambi na lijualikali as if ni zoezi lililofanywa na watanzania wote, kiasi cha kutaka kutuonyesha kwamba hawakubaliki kwenye Jamii. Wakati waliowakata ni wajumbe wachache sana tena walio ndani ya chama. Huku nje wapo watu wengi wanaowaunga mkono. Sasa hao wachache huwezi kusema watanzania. Ningemuelewa endapo kina katambi wangegombea ubunge halafu wakakosa. Hapo watanzania wangekua wamefanya maamuzi yao.
CHADEMA ni mateso moyoni si chamaHivi mbona hamjifunzi enyi vilaza wa Lumumba? CHADEMA sio Mbowe, LIssu, Mnyika au hao wapuuzi mnaowanunua kila kukicha.. CHADEMA ni watu na Imani kama zilivyo imani nyingine! Nunueni hata Lissu CHADEMA bado itabaki kama ilivyo
Ndegeleki!
Kwa hiyo "si riziki" ni bora kuliko lema!??? spare us please au wewe naye ni wale waleNa ushamba zaidi Ni kung'ang'ana na kitu, hata pale unapoona hakina manufaa yoyote.
St jude imewagharimu,kutowaleta watoto wao uwanjani.