Uchaguzi 2020 Kamarada Mrisho Gambo apeleka kilio CHADEMA

Uchaguzi 2020 Kamarada Mrisho Gambo apeleka kilio CHADEMA

Hata Chadema wakipata madiwani na wabunge, mwendo ni uleule,kuunga mkono juhudi mwanzo mwisho.
 
pointi yangu kubwa ni unahitaji watu wengi iwezekanavyo! hautakiwi kubagua, haiwezekani unategemea kura za watu alafu useme pumba na mchele, wote ni wapiga kura pumba na mchele wote wanapiga kura
Pole lakini nilikuwa nina comment kuhusu hicho kimombo '........ whether way you will see it ........'
 
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.

Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.

Alifukuzwa ukuu wa mkoa wa Arusha hawezi kupewa Jimbo la Arusha mjini. Alisimamia zoezi la kugilisika na kuibiwa fedha maduka ya kubadilisha fedha mjini Arusha. Statute kazi nyingine au akachunge mbuzi kwao.arusha Ina wenyewe
 
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.

Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.

Tupe picha ya mikutano ya Gambo
 
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.

Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.

Hivi mbona hamjifunzi enyi vilaza wa Lumumba? CHADEMA sio Mbowe, LIssu, Mnyika au hao wapuuzi mnaowanunua kila kukicha.. CHADEMA ni watu na Imani kama zilivyo imani nyingine! Nunueni hata Lissu CHADEMA bado itabaki kama ilivyo

Ndegeleki!
 
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo.

Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.

Hongera zao hawakuwa wa kwanza na hawatakuwa wa mwisho
 
Viongozi wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kata ya Terrat wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo

Viongozi hao ni pamoja na Katibu wa Chama hicho Shedrack Mollel, Mwenyekiti wa BAWACHA na Mweka Hazina pamoja na wanachama wa Chama hicho.


Kama lengo ni kuwapata viongozi wa CHADEMA tu basi huo ni mkakati wa ovyo sana; wa kishamba; usio na manufaa yoyote. Hao ni watu wachache sana. Na ieleweke, CHADEMA imeshavuka hatma ya kudhibitiwa na mtu au kikundi cha watu. Hata leo hii Mwenyekiti akinunuliwa mtashangaa kuona CHADEMA inapeta na moto mkubwa zaidi. Kuna wakati ilitarajiwa Zitto baadaye Slaa wakiondolewa CHADEMA itakufa. Leo vijana wengi wanasimuliwa historia ya “wahenga” hao ndani ya CHADEMA na kubaki kushangaa tu.

CCM itafanya la maana sana ikiweza kuwashawishi wanachama na wafuasi wengi sana/wote wa CHADEMA wajiunge nao. Hili ndilo kundi kubwa la Watanzania lenye impact kwenye siasa za nchi hii. NA hapo ndipo penye changamoto lenyewe! - you know exactly what I mean.
 
Hapo, Magufuli mshampiga hela tayari. Kweli CCM sikio la kufa bado hamjifunzi chochote.
 
Nyomiiii
20200915_123050.jpg
 
Elewa mantiki usirukie hoja kama umebanwa na tumbo la kuharisha. Huyo bwana aliongelea kutopitishwa kwa katambi na lijualikali as if ni zoezi lililofanywa na watanzania wote, kiasi cha kutaka kutuonyesha kwamba hawakubaliki kwenye Jamii. Wakati waliowakata ni wajumbe wachache sana tena walio ndani ya chama. Huku nje wapo watu wengi wanaowaunga mkono. Sasa hao wachache huwezi kusema watanzania. Ningemuelewa endapo kina katambi wangegombea ubunge halafu wakakosa. Hapo watanzania wangekua wamefanya maamuzi yao.
Kweli upumbavu na ukilaza ni kipaji,umetunukiwa.
Akiwa mwananchi zaidi ya mmoja hao si Watanzania?
Ili tuweze kuweka wingi wa Watanzania,inatakiwa tuwe na idadi gani ya wananchi?
 
Hivi mbona hamjifunzi enyi vilaza wa Lumumba? CHADEMA sio Mbowe, LIssu, Mnyika au hao wapuuzi mnaowanunua kila kukicha.. CHADEMA ni watu na Imani kama zilivyo imani nyingine! Nunueni hata Lissu CHADEMA bado itabaki kama ilivyo

Ndegeleki!
CHADEMA ni mateso moyoni si chama
 
soon hao walihamia CCM watapewa nafasi za uongozi na nyie mataga mtakuwa chini yao 🤣
 
Huyo gumbo ni mshamba, bado anaendelea na manunuzi?
 
Back
Top Bottom