Kamari inapunguza mzunguko wa Fedha kwenye uzalishaji na kufanya maisha yawe magumu, CCM liangalieni hili

Kamari inapunguza mzunguko wa Fedha kwenye uzalishaji na kufanya maisha yawe magumu, CCM liangalieni hili

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa

Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji

Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"

Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
 
Wahindi Wana bank zao wakikusanya wanapeleka huko pale posta ambazo ni moja kwa moja zinaenda kweny bank zao huko, na hao jamaa hawanaga mfuko wa mzuri wa kutumia kwa sana bank zetu na wengi pesa wanaweka chumbani ndo zinapunguza mzunguko ila sio wote.

Hata wachina jioni kweny mabonanza yao wanachota pesa za wajinga waliopigwa then wanasepa.
 
Hakika umenena. Nilikuwa addicted na hii kitu.

1. Hufikirii kazi zingine za kuzalisha.
2. Muda wote unachambua timu
3. Kila unapopata hela ni kwenda kubet huwazi maendeleo mengine.
4. Hata uliwe siku zote hukomi

Nashukuru Mungu Aliniokoa na hili janga.

Vitabu vyote vya dini vinapinga kamari.

Naiomba serikali ipige marufuku kamari na bonanza zote.

Michezo yote ya kubahatisha kwenye simu ipigwe marufuku.

Tutaokoa kizazi
 
Niliwahi kuwa mraibu wa makamari haya ya karata,makamari makubwa ambayo yalinirudisha nyuma kimaendeleo pamoja na kuondoa uaminifu kwa watu ambao ni muhimu sana, majuto ya hali ya juu na maumivu ya hali ya juu zaidi, nilikuwa na marafiki ambao nikiwa na hela na nikiwa nashinda mara kwa mara kwenye hayo makamari huwa wana ni heshimu, kunisifia juu ya uwezo wangu pia na kunikubali kuwa me ni wina,nishavunja {kushinda} sana kwenye makamari makubwa makubwa, ila sijawahi kuingia CASINO na kucheza kamari,ila nikianza kupunwa na kuishiwa kabisa nilikuwa nanyanyasika, kutengwa na mifano mengine ifananayo na hayo,nilitamani saana niache huo mchezo wa haramu, nilishaacha na kurudi mara kwa mara.

Niwahi kuyaona hayo MADUBWI na hata kukaa nayo karibu ila hayo MADUBWI {MABONANZA} sikumbuki kama nishawahi kucheza kwa kuwa siwezi kusubiri mia mbili {200} ambazo zinazotoka mule hata kama zikiwa na uwezo wa kufika Million, napambana na nafsi yangu kule nisirudi, maisha ya mateso na manyanyaso, watu washaliwa hela muhimu. Mtu unaweza kufanya tukio la kuogopeka, kukutana na watu ambao wanafanya shughuri mbali mbali ambazo si za halali.

Naona watu wanasifia tu sijui CHAFU TATU {3}

Nikisema imenirudisha nyuma basi muelewe,na ukipata hela yake sidhani kama unafanyia kitu cha maana.

Piga vita kamari.
 
Kuwaza hivi ni uzwazwa. Hapa bongo kuna kamari gani za kuondoa hela kwenye mzunguko? It’s a capitalist world, you are supposed to be responsible for your actions. If you think you gonna hit big kwenye kamari na ukaliwa ni ujinga wako. It’s no one’s problem.
 
Usimpangie mtu ela aitumiaje hayo ni maamuzi yake

Kila mtu na ndoto yake kwenye maisha yake

Malaya ndoto yake one day apate danga ampe milion Mia

Mcheza kamari ndoto yake one day ashinde jackpot B 1 Maisha yake yawe supper

Mwanasiasa ndoto yake one day aje kuwa kiongozi mkubwa

So try ku heshimu ndoto ya mtu
 
Niliwahi kuwa mraibu wa makamari haya ya karata,makamari makubwa ambayo yalinirudisha nyuma kimaendeleo pamoja na kuondoa uaminifu kwa watu ambao ni muhimu sana,majuto ya hali ya juu na maumivu ya hali ya juu zaidi,nilikuwa na marafiki ambao nikiwa na hela na nikiwa nashinda mara kwa mara kwenye hayo makamari huwa wana ni heshimu,kunisifia juu ya uwezo wangu pia na kunikubali kuwa me ni wina,nishavunja{kushinda} sana kwenye makamari makubwa makubwa,ila sijawahi kuingia CASINO na kucheza kamari,ila nikianza kupunwa na kuishiwa kabisa nilikuwa nanyanyasika,kutengwa na mifano mengine ifananayo na hayo,nilitamani saana niache huo mchezo wa haramu,nilisha acha na kurudi mara kwa mara.Niwahi kuyaona hayo MADUBWI na hata kukaa nayo karibu ila hayo MADUBWI {MABONANZA} sikumbuki kama nishawahi kucheza kwa kuwa siwezi kusubiri mia mbili {200} ambazo zinazotoka mule hata kama zikiwa na uwezo wa kufika Million,napambana na nafsi yangu kule nisirudi,maisha ya mateso na manyanyaso,watu washaliwa hela muhimu.Mtu unaweza kufanya tukio la kuogopeka,kukutana na watu ambao wanafanya shughuri mbali mbali ambazo si za halali.
Naona watu wanasifia tu sijui CHAFU TATU {3}

Nikisema imenirudisha nyuma basi muelewe,na ukipata hela yake sidhani kama unafanyia kitu cha maana.

Piga vita kamari.


Mwingine atakwambia ubunge umemrudisha nyuma kimaisha bora angekuwa mkulima

Hapo ishu sio kamari ishu ni akili zako tu

Kuna watu wanapiga ela kwenye kamari na wanajenga majumba

So hapo jizungumzie ww Tu
 
Usimpangie mtu ela aitumiaje hayo ni maamuzi yake

Kila mtu na ndoto yake kwenye maisha yake

Malaya ndoto yake one day apate danga ampe milion Mia

Mcheza kamari ndoto yake one day ashinde jackpot B 1 Maisha yake yawe supper

Mwanasiasa ndoto yake one day aje kuwa kiongozi mkubwa

So try ku heshimu ndoto ya mtu
Wewe ni mhindi au mfanyakazi wao au mfanyakazi wa Mchina.
 
Wewe ni mhindi au mfanyakazi wao au mfanyakazi wa Mchina.

Why kamari and not beer ? Why kamari na sigara ?

Kila mtu na kitu chake anachokiona kinafaida kwenye maisha yake
 
Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa

Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji

Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"

Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Inaumiza sana mchina kuigeuza sarafu yetu ya mia mbili kuwa token ya kamari,
Hili Madelu halioni yeye anatambia Phd,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa

Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji

Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"

Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Unataka mwigu apate HASARA kwenye biashara zake?

Adui wa watz ni viongozi wetu. Waziri unawezaje kutuibia na ukawekeza kwenye KAMARI?
 
Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa

Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji

Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"

Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Umenena vyema sana ✔️
 
Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa

Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji

Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"

Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Put it differently. Unless hujui maana ya mzunguko wa fedha
 
Yawezekana Wewe ndio hujui

Samahani lakini!
Mzunguko wa fedha ni: MV =PT ambapo v ni velocity au Kasi ya mzunguko yaani ukiwa na elfu mbili asubuhi ikafika saa tatu Bado unayo hapo ndo tunasema mzunguko ni mbovu lakini ukiwa na elfu mbili ukaenda kubet maana yake v ni kubwa sana eneo Hilo.
 
Mzunguko wa fedha ni: MV =PT ambapo v ni velocity au Kasi ya mzunguko yaani ukiwa na elfu mbili asubuhi ikafika saa tatu Bado unayo hapo ndo tunasema mzunguko ni mbovu lakini ukiwa na elfu mbili ukaenda kubet maana yake v ni kubwa sana eneo Hilo.
Halafu Mhindi anazijaza Jamatini
 
Back
Top Bottom