Kamari ya kumtosa Lowassa na kumpitisha Makongoro

Kamari ya kumtosa Lowassa na kumpitisha Makongoro

Nimesoma huu uzi na ninabaki najiuliza hivi Moderator wanatumia vigezo gani kuunganisha baadhi ya thread na zingine kuziacha na kwakweli sipati majibu!!
 
Last edited by a moderator:
Huo ndio ukweli , wana CCM wengi wanaamini EL ndio anafaa
Nilipita mitaa mingi Dar kuanzia Mbagala hadi Sinza. Sikuamini macho yangu na pua zangu
Harufu mbaya uchafu wa ajabu , vibanda vibanda vya kila shape .Yaani huwezi amini kama uko mjini.
Hata barabara za Rapid trans zimegeuka vyoo vya open.

I hateeverything in Dar.Bado ndio hao wanaleta mada za akina Memebe huku wakasahau nani kawafanya walivyo.
 
Back
Top Bottom