DINHO
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 880
- 1,750
Habari zenu wadau,
Pamoja na habari hii mimi nimekuwa mtu wa kufuatalia sana masuala ya uchumi ambapo ndio kada yangu niliyobobea ingawa si kwa kiwango kikubwa saaaana.
Mwaka jana, kuliibuka kamari/bahati nasibu ambazo binafsi sikuelewa msingi wake hasa ni nini.
Bahati nasibu hizi zinaendeshwa na Radio za hapa nchini hasa Clouds Fm (MCHONGO PESA) EFM (PESA MSHINDO), RADIO ONE nk.
Nyongeza ya Hapo tuna bahati nasibu ambazo ni TATU MZUKA nk
Hoja yangu ni kwamba kwa sheria zetu za Kampuni ni lazima kampuni iweke wazi shughuli zao rasmi zinazoiingizia kipato, sasa basi hizi kamari ambazo zinaendeshwa na hizi Redio zimesajiliwa kwa mtindo upi?
Na je kodi yake inalipwaje? Kwanini mshindi halipi kodi kutokana na kipato chake kama sheria inavyotaka.
Lakini kubwa zaidi kwanini iwe kila redio wawe na huu ujinga, ambao wanainchi makumi kwa maelfu wanaibiwa pesa zao kwa mgongo wa kudanganywa kuwa pesa za mchongo ni za bure?
Serikali kupitia wizara ya Fedha kwanini wasitoe tamko rasmi juu ya hizi kamari ambazo sasa tunaweza ziita kama MUSHROOMING WAMBLING? TRA watoe ufafanuzi on how they collect taxes as kodi ni suala la wazi bila kificho. Kampuni ipi hasa imesajiliwa kwa biashara hizi as all we know kazi za hizo Redio ni kurusha matangazo ya habari nk.
Je, hizi redio sio kwamba wanatumia mgongo wa hizi kamari kujipatia fedha kwa ajili ya kulipia mishahara ya watumishi wao au kutakatisha fedha haramu?
Wadau wa maendeleo ningeomba tuchangie hoja hii kwa utulivu huku tukitafuta suluhisho la huu wizi wa wazi kwa Watanzania.
Hii nchi haiwezi endeshwa kienyeji kiasi kwamba mtu anaamua kujitafutia pesa kwa nyia za hovyo na ambazo hazina well verifacation ya ushindi kama ilivyo kwa football/basketball betting, ambazo mshindi anaona kwa uwazi ameshindwa au ameshinda.
Sambamba na hilo kwanini sasa hiyo michezo isiendeshwe na bodi ya bahati nasibu ili kuweka uwazi, na badala yake iendeshwe na wapumbavu kama MWIJAKU, DA HUU, MAESTRO, KISHAMBA, OSCAR OSCAR, KITENGE na wajinga wengine.
BODI YA BAHATI NASIBU IKO WAPI KUWEZA KURATIBU HIZI BAHATI NASIBU.
Nawasilisha.
Pamoja na habari hii mimi nimekuwa mtu wa kufuatalia sana masuala ya uchumi ambapo ndio kada yangu niliyobobea ingawa si kwa kiwango kikubwa saaaana.
Mwaka jana, kuliibuka kamari/bahati nasibu ambazo binafsi sikuelewa msingi wake hasa ni nini.
Bahati nasibu hizi zinaendeshwa na Radio za hapa nchini hasa Clouds Fm (MCHONGO PESA) EFM (PESA MSHINDO), RADIO ONE nk.
Nyongeza ya Hapo tuna bahati nasibu ambazo ni TATU MZUKA nk
Hoja yangu ni kwamba kwa sheria zetu za Kampuni ni lazima kampuni iweke wazi shughuli zao rasmi zinazoiingizia kipato, sasa basi hizi kamari ambazo zinaendeshwa na hizi Redio zimesajiliwa kwa mtindo upi?
Na je kodi yake inalipwaje? Kwanini mshindi halipi kodi kutokana na kipato chake kama sheria inavyotaka.
Lakini kubwa zaidi kwanini iwe kila redio wawe na huu ujinga, ambao wanainchi makumi kwa maelfu wanaibiwa pesa zao kwa mgongo wa kudanganywa kuwa pesa za mchongo ni za bure?
Serikali kupitia wizara ya Fedha kwanini wasitoe tamko rasmi juu ya hizi kamari ambazo sasa tunaweza ziita kama MUSHROOMING WAMBLING? TRA watoe ufafanuzi on how they collect taxes as kodi ni suala la wazi bila kificho. Kampuni ipi hasa imesajiliwa kwa biashara hizi as all we know kazi za hizo Redio ni kurusha matangazo ya habari nk.
Je, hizi redio sio kwamba wanatumia mgongo wa hizi kamari kujipatia fedha kwa ajili ya kulipia mishahara ya watumishi wao au kutakatisha fedha haramu?
Wadau wa maendeleo ningeomba tuchangie hoja hii kwa utulivu huku tukitafuta suluhisho la huu wizi wa wazi kwa Watanzania.
Hii nchi haiwezi endeshwa kienyeji kiasi kwamba mtu anaamua kujitafutia pesa kwa nyia za hovyo na ambazo hazina well verifacation ya ushindi kama ilivyo kwa football/basketball betting, ambazo mshindi anaona kwa uwazi ameshindwa au ameshinda.
Sambamba na hilo kwanini sasa hiyo michezo isiendeshwe na bodi ya bahati nasibu ili kuweka uwazi, na badala yake iendeshwe na wapumbavu kama MWIJAKU, DA HUU, MAESTRO, KISHAMBA, OSCAR OSCAR, KITENGE na wajinga wengine.
BODI YA BAHATI NASIBU IKO WAPI KUWEZA KURATIBU HIZI BAHATI NASIBU.
Nawasilisha.