Kamari za Radio One, Clouds FM na EFM

Kamari za Radio One, Clouds FM na EFM

Nilijaribu kupitia kwakweli, na nikiri wazi hizo sheria inapaswa kurekebishwa kwa kuangalia hali ya uchumu wa wananchi na sio tu kukusanya kodi bila kuzingatia usawa wa kiuchumi na madhara yake.
Hata madawa ya kulevya ya mkwanja mrefu mno ila yanazuiliwa kutokana na athari zake kwa jamii.

Hii inaitwa SMS lotteries, changamoto iliyopo kwanini hatuna standards za nani afanye hii biashara na kwa mtaji gani nk.
Ikumbukwe biashara ya mikopo hii chap chap au mikopo umiza hizi ndogo tu, zina utaratibu wake ambapo kuna kiwango cha mtaji mtu au kampuni anapaswa kuwa nayo kabla ya kuanza hiyo biashara, hali kama hiyo haina tofauti na Sports betting.

Hapa kwenye SMS LOTTERIES kuna kiwango ambacho wamewekewa kwamba kabla ya kufanya biashara hii lazima uwe na kiwango fulani cha mtaji?? Na je Sheria inatambua wazi makampuni tofauti na ya kamari hulipa kodi zao kila mwaka na kwa awamu nne mara baada ya kuproject au kupata faida. Hali hii ni tofauti na Kamari ambapo hulipa kila mwezi au wiki.
Je hawa Claudz, EFM wamesajili hizi kamari as separate entity au ipo ndani ya hizo Radio zao?
Utaratibu wao wa kusajiliwa ulizingatia vigezo muhimu. Pamoja na hilo, SMS LOTTERIES zinapaswa kuchezwa kila mtu aone ni kwa usahihi gani hakuna upangaji wa matokeo.
usijichanganye, kuna corporate tax na gaming tax tax kila moja inalipwa kifyake, corporate tax kampuni inalipa kutoka kwenye faida wakati gaming tax kampuni ina-act kama agent wa TRA kuikusanya kutoka kwa washindi wa kamari
 
Habari zenu wadau. Pamoja na habari hii mimi nimekuwa mtu wa kufuatalia sana masuala ya uchumi ambapo ndio kada yangu niliyobobea ingawa si kwa kiwango kikubwa saaaana.

Mwaka jana, kuliibuka kamari/bahati nasibu ambazo binafsi sikuelewa msingi wake hasa ni nini.

Bahati nasibu hizi zinaendeshwa na Radio za hapa nchini hasa Clouds Fm (MCHONGO PESA) EFM (PESA MSHINDO), RADIO ONE nk.

Nyongeza ya Hapo tuna bahati nasibu ambazo ni TATU MZUKA nk

Hoja yangu ni kwamba kwa sheria zetu za Kampuni ni lazima kampuni iweke wazi shughuli zao rasmi zinazoiingizia kipato, sasa basi hizi kamari ambazo zinaendeshwa na hizi Redio zimesajiliwa kwa mtindo upi?
Na je kodi yake inalipwaje?
Kwanini mshindi halipi kodi kutokana na kipato chake kama sheria inavyotaka.

Lakini kubwa zaidi kwanini iwe kila redio wawe na huu ujinga, ambao wanainchi makumi kwa maelfu wanaibiwa pesa zao kwa mgongo wa kudanganywa kuwa pesa za mchongo ni za bure?

Serikali kupitia wizara ya Fedha kwanini wasitoe tamko rasmi juu ya hizi kamari ambazo sasa tunaweza ziita kama MUSHROOMING WAMBLING? TRA watoe ufafanuzi on how they collect taxes as kodi ni suala la wazi bila kificho. Kampuni ipi hasa imesajiliwa kwa biashara hizi as all we know kazi za hizo Redio ni kurusha matangazo ya habari nk.

Je hizi redio sio kwamba wanatumia mgongo wa hizi kamari kujipatia fedha kwa ajili ya kulipia mishahara ya watumishi wao au kutakatisha fedha haramu?

Wadau wa maendeleo ningeomba tuchangie hoja hii kwa utulivu huku tukitafuta suluhisho la huu wizi wa wazi kwa watanzania.

Hii nchi haiwezi endeshwa kienyeji kiasi kwamba mtu anaamua kujitafutia pesa kwa nyia za hovyo na ambazo hazina well verifacation ya ushindi kama ilivyo kwa football/basketball betting, ambazo mshindi anaona kwa uwazi ameshindwa au ameshinda.

Sambamba na hilo kwanini sasa hiyo michezo isiendeshwe na bodi ya bahati nasibu ili kuweka uwazi, na badala yake iendeshwe na wapumbavu kama MWIJAKU, DA HUU, MAESTRO, KISHAMBA, OSCAR OSCAR, KITENGE na wajinga wengine.

BODI YA BAHATI NASIBU IKO WAPI KUWEZA KURATIBU HIZI BAHATI NASIBU.

Nawasilisha.
Ni wizi wa wazi wazi unaopigiwa debe na watangazaji wa vipindi,kuliko nicheze huu mchezo ni heri nibeti
 
usijichanganye, kuna corporate tax na gaming tax tax kila moja inalipwa kifyake, corporate tax kampuni inalipa kutoka kwenye faida wakati gaming tax kampuni ina-act kama agent wa TRA kuikusanya kutoka kwa washindi wa kamari
Hilo unalosema wewe kuwa agent ni WITHHOLDING TAX na hiyo hukatwa kutoka kwa yule aliyeshinda, ila kwenye kesi ya SMS lotto wanaokatwa ni wahusika wenyewe.
Binafsi nijuacho kwenye Gaming tax kuna kodi za aina mbili kuu, 1. Kodi ambayo hulipwa kutoka kwa washindi.
2. Kodi ambayo hulipwa kutoka kwa wamiliki (Kampuni husika).
Hapo nijuavyo ni kwamba kuna aina nyingi ya kamari hizi, ila hizo za sms mshindi hakatwi kodi yoyote bali mmiliki hukatwa kutokana na makusanyo yake mara baada ya kutoa gharama za ushindi.
Katika hali kama hiyo, haya makampuni anayodai mleta mada kuwa anaona kama wizi fulani. Yajikite kwenye Primary activity zao.
 
Hilo unalosema wewe kuwa agent ni WITHHOLDING TAX na hiyo hukatwa kutoka kwa yule aliyeshinda, ila kwenye kesi ya SMS lotto wanaokatwa ni wahusika wenyewe.
Binafsi nijuacho kwenye Gaming tax kuna kodi za aina mbili kuu, 1. Kodi ambayo hulipwa kutoka kwa washindi.
2. Kodi ambayo hulipwa kutoka kwa wamiliki (Kampuni husika).
Hapo nijuavyo ni kwamba kuna aina nyingi ya kamari hizi, ila hizo za sms mshindi hakatwi kodi yoyote bali mmiliki hukatwa kutokana na makusanyo yake mara baada ya kutoa gharama za ushindi.
Katika hali kama hiyo, haya makampuni anayodai mleta mada kuwa anaona kama wizi fulani. Yajikite kwenye Primary activity zao.

I missed a point, kodi ya mmliki inalipwa kwenye gross ya mapato at the rate of 3% and that is final nadhani, hatakiwi kusubmit provisional returns
 
I missed a point, kodi ya mmliki inalipwa kwenye gross ya mapato at the rate of 3% and that is final nadhani, hatakiwi kusubmit provisional returns
Hapa umeweka sawia sasa. Lkn je hizi kamari nini hatma ya vijana wetu hasa wale wa vijijini ambao bila kupewa elimu sahihi ya huu wizi.
 
Wao ndio wanaendesha. Mi pia nachukizwa na hizo kamari za kijinga.
watangazajio hawaendeshi hiyo michezo kazi yao ni KU mention tu (Brand talk) ila inaendeshwa na idara nyingine hapo hapo Radion. watangazaji wanafanya tu kama wanavyo mention matangazo mengine na sio waendeshaji
 
watangazajio hawaendeshi hiyo michezo kazi yao ni KU mention tu (Brand talk) ila inaendeshwa na idara nyingine hapo hapo Radion. watangazaji wanafanya tu kama wanavyo mention matangazo mengine na sio waendeshaji
Si wanasema hapa nachezesha ili kumpata mshindi??
 
Wizi mtupu yani ukiwa na akili huwezi kucheza mamichezo ya ajabu ajabu unatakiwa utafute pesa , hakuna hela ya rahisi rahisi kiviiile , unatakiwa utoke jasho ndiomaana hata maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile.
 
Wizi mtupu yani ukiwa na akili huwezi kucheza mamichezo ya ajabu ajabu unatakiwa utafute pesa , hakuna hela ya rahisi rahisi kiviiile , unatakiwa utoke jasho ndiomaana hata maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile.
Hata betting ni kazi
 
Habari zenu wadau,

Pamoja na habari hii mimi nimekuwa mtu wa kufuatalia sana masuala ya uchumi ambapo ndio kada yangu niliyobobea ingawa si kwa kiwango kikubwa saaaana.

Mwaka jana, kuliibuka kamari/bahati nasibu ambazo binafsi sikuelewa msingi wake hasa ni nini.

Bahati nasibu hizi zinaendeshwa na Radio za hapa nchini hasa Clouds Fm (MCHONGO PESA) EFM (PESA MSHINDO), RADIO ONE nk.

Nyongeza ya Hapo tuna bahati nasibu ambazo ni TATU MZUKA nk

Hoja yangu ni kwamba kwa sheria zetu za Kampuni ni lazima kampuni iweke wazi shughuli zao rasmi zinazoiingizia kipato, sasa basi hizi kamari ambazo zinaendeshwa na hizi Redio zimesajiliwa kwa mtindo upi?
Na je kodi yake inalipwaje? Kwanini mshindi halipi kodi kutokana na kipato chake kama sheria inavyotaka.

Lakini kubwa zaidi kwanini iwe kila redio wawe na huu ujinga, ambao wanainchi makumi kwa maelfu wanaibiwa pesa zao kwa mgongo wa kudanganywa kuwa pesa za mchongo ni za bure?

Serikali kupitia wizara ya Fedha kwanini wasitoe tamko rasmi juu ya hizi kamari ambazo sasa tunaweza ziita kama MUSHROOMING WAMBLING? TRA watoe ufafanuzi on how they collect taxes as kodi ni suala la wazi bila kificho. Kampuni ipi hasa imesajiliwa kwa biashara hizi as all we know kazi za hizo Redio ni kurusha matangazo ya habari nk.

Je, hizi redio sio kwamba wanatumia mgongo wa hizi kamari kujipatia fedha kwa ajili ya kulipia mishahara ya watumishi wao au kutakatisha fedha haramu?

Wadau wa maendeleo ningeomba tuchangie hoja hii kwa utulivu huku tukitafuta suluhisho la huu wizi wa wazi kwa Watanzania.

Hii nchi haiwezi endeshwa kienyeji kiasi kwamba mtu anaamua kujitafutia pesa kwa nyia za hovyo na ambazo hazina well verifacation ya ushindi kama ilivyo kwa football/basketball betting, ambazo mshindi anaona kwa uwazi ameshindwa au ameshinda.

Sambamba na hilo kwanini sasa hiyo michezo isiendeshwe na bodi ya bahati nasibu ili kuweka uwazi, na badala yake iendeshwe na wapumbavu kama MWIJAKU, DA HUU, MAESTRO, KISHAMBA, OSCAR OSCAR, KITENGE na wajinga wengine.

BODI YA BAHATI NASIBU IKO WAPI KUWEZA KURATIBU HIZI BAHATI NASIBU.

Nawasilisha.
Watu wanataka kulipa bills wewe unaleta mambo ya HAKKI
 
Back
Top Bottom