Kamata hii!

Kamata hii!

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Wakati wa kununua ng'ombe, usinunue kijijini kwako. Kwa sababu siku moja ng’ombe akienda mtoni kutafuta maji au kunywa maji, na mwenye ng’ombe wa zamani aliyekuuzia akimuona anaweza kumuelekeza aende nyumbani kwake, atamkamua kisha atamuachia ili arudi kwako.

Hatimae Baadaye utakapojaribu kumkamua, atakuwa anakupiga mateke, anakimbia huku na kule, na atakuwa hapendi kukupa maziwa ya kila siku kama hapo awali.

SWALI👇
Je, unalionaje hili?
Umenunua wapi?

NB: picha hii haina mahusiano na kilichoandikwa!! 🙄

Waliosoma "CUBA" watanielewa... 😂
 

Attachments

  • A19BA3C7-B78E-45B7-8940-C64D81EC57D8.jpeg
    A19BA3C7-B78E-45B7-8940-C64D81EC57D8.jpeg
    351.9 KB · Views: 4
Code kama inakuja na kupotea hivii..
Nikicheki vizuri naona kama Tisa
Nikizungsha kumbe Ni SITA.
Sema nn Jamaa kazungumzia ngono Ila ni SIASA
Tunaomba msaada wenu maJASUSI🫤🫤🫤
 
#KATAA NDOA
#NDOA NI UTAPELI
Mbona munakuwa wabishiiiiiiiiiii ****mae
 
Back
Top Bottom