MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Yaani kama kuna kitu kilikua kimenichosha kwenye huu utawala ni hili la mafisadi kupeta tu ilhali wamekwapua mfuko wa taifa. Binafsi naomba kuona watu wakinyea debe jela, wasiishie mahakamani tu, na mali zao zitaifishwe, yaani hela ya serikali iwe chungu, iwe na ukakasi, we need to see blood.
Wakenya tuunge mkono hizi jitihadaa bila kujali kama watuhumiwa ni ndugu zetu wala nini, kamata na kuwasomba wote ndani, ikiwezekana wapokee vibao na viboko pia, hata wenye madaraka yashushwe tu.
Hizi kamata kamata zisiishie NYS, naomba kimbuga kipitie kila wizara na idara, kije hadi mitaani nipo radhi kulipa gharama kama hata na mimi kitanikuta.
Police on Monday pounced on suspects named in the ongoing National Youth Service probe after the DPP ordered their immediate prosecution.
Thirteen of the suspects were arrested in Nairobi while four were nabbed in Naivasha.
The NYS Director-General Richard Ndubai is among those who have been arrested.
The suspects have been taken to DCI headquarters on Kiambu Road, Nairobi.
Names of those arrested in NYS probe
Wakenya tuunge mkono hizi jitihadaa bila kujali kama watuhumiwa ni ndugu zetu wala nini, kamata na kuwasomba wote ndani, ikiwezekana wapokee vibao na viboko pia, hata wenye madaraka yashushwe tu.
Hizi kamata kamata zisiishie NYS, naomba kimbuga kipitie kila wizara na idara, kije hadi mitaani nipo radhi kulipa gharama kama hata na mimi kitanikuta.
- Ms Lillian Mbogo Omollo, Katibu mkuu
- Mr Richard Dubai, NYS Director-General
- Mr Sam Muchuki
- Mr Peter Muchui
- Mr Matano Odoyo, NYS
- Mr James Thuita Nderitu, businessman
- Ms Yvonne Wanjiku Ngugi, businesswoman
- Mr Sammy Mbugua
- Mr Timothy Kiplangat Rotich
- Mr Wellanalo Mulupi, NYS
- Mr David Kirui
- Mr Ferdinard Matavo
- Ms Keziah Mwangi, NYS
- Mr Duba Galgalo
- Mr Isaiah Adalo Chopia
Police on Monday pounced on suspects named in the ongoing National Youth Service probe after the DPP ordered their immediate prosecution.
Thirteen of the suspects were arrested in Nairobi while four were nabbed in Naivasha.
The NYS Director-General Richard Ndubai is among those who have been arrested.
The suspects have been taken to DCI headquarters on Kiambu Road, Nairobi.
Names of those arrested in NYS probe