Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namba yako mkuuUkitaji mbuZi kwa wingi na kwa bei rafiki nione
Njoo in box nipe yako Takupigianamba yako mkuu
Ww sema hao mbuzi wanapatikana wapi na kwa bei gani, acha huo utapeli wako wa inbox mkuu..Njoo in box nipe yako Takupigia
Niunge na mimiWakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
tatizo mi sehemu ya kuwafugia wengi tunaishi kwenye mazingira yasiyo rafiki natamani sana kufuga kuku wa mayai na nyama ila !!!! ndoto kutimia ni ngumuWakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
Unauzaje mkuu..?Unafugia wapi!?
Mie ninazizi Dodoma
Nauzia dar!
Delivery free kwa dar! Unachinjiwa na kusafishiwa!
Tatizo Pugu bei mbovu sana!
Labda uuze bei ya kutupa,@ faida faida 8000__10,000/
Aliye chunjwa, niko dar.Ukichinjiwa?
Au alie hai?
Kwa dar au wapi?
NIKO LINDI TANZANIA WILAYA YA NACHJNGWEA MBUZI NI.DILI YAANI DEMAND NI KUBWA ILA HAKUNA MIFUGO KILO MOJA HUUZWA SH ELFU.TISA NA WILAYA NZIMA BITCHER YA MBUZI INAYOTAMBULIKA NI MOJA TU BAASI KWA MWENYE MTAJI ANAWEZA NISHIRIKISHA TUKAPIGA HELA.Unauzaje mkuu..?