Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamata-kamata tu chochote inaruhusiwa.Anakamata Magoma muli
Umeicheza na wewe?Kina dada wamepewa challenge ya kuicheza mshindi kuibuka na donge nono
Anakamata kaburi la marehemuAnamkamata nani bwana huyo au anawakamata chadema?
Diamond aache roho mbaya..kiba akishine tu kidogo zongo lazima litokee..
It is not a fact nilishosema..lakini inaonekana hivyo..huyu jamaa ni kama anataka awe mwenyewe tu..wakati tayari kashawaacha wenzake mbali lakini bado hajiamini..na sio kutoa ngoma tu,hata kuja na drama drama wakati ambao kina alikiba wametoa japo ka wimbo kazuri/kanakopendwa.Mkuu nakubali uwezo wako wa kudadavua mambo, ila kwa hili hapana kwahiyo Diamond asitoe wimbo kisa Ali kiba ametoa? Hii ni vita na mwenye nguvu ndio ataibuka mshindi
Ona huyu nae eti kukimbizana na upepo wa BET, unadhani huko ni kama huku bongo Kik mbeleAlafu diamond ametoa hii ngoma kukimbizana na upepo wa BET lazima yeye ndo awe talk of the town
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nani anaijua KAMATA uko BETAlafu diamond ametoa hii ngoma kukimbizana na upepo wa BET lazima yeye ndo awe talk of the town
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
kamata chini, kamatia chini 😀Diamond aliwaachia miezi 6 hajatoa ngoma jana .ametoa eti anashindana na fulani
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app