Kamati inayoshughulika na majanga nchini haina wataalamu huku wenye ujuzi wapo mtaani, serikali itupe kipaumbele kwenye ajira

Kamati inayoshughulika na majanga nchini haina wataalamu huku wenye ujuzi wapo mtaani, serikali itupe kipaumbele kwenye ajira

Alexmugisha

New Member
Joined
May 8, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Hello, mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu nasoma Shahada ya Kwanza (Masters Degree of Environmental Disaster Managament) mwaka wa pili.

Ombi langu ni kuhusu degree hii tunasoma lakini pia kuna waliotutangulia ambapo majanga yanatoke mengi na nchi hupata hasara while watu ambao wanateuliwa kusughulikia suala hili hawajasomea mambo hayo.

Mfano kuanzia ngazi ya kata hadi mkoa lakini pia taifa kwanini hii program haijapewa kipaumbele katika ajira ili kupunguza madhara ya majanga yanayoleta maafa kama kupoteza ndugu zetu, uharibifu wa mali, pia kupoteza makazi mfano kama ilivyotokea Hanang, Mafia na Tanga kwenye kimbunga Hidaya.

Kama ikiwezekana tunaomba lichapishwe wazo kama hili lifike ngazi za juu hili waliangalie suala hili kwa namna moja hama nyingine 🙏🙏
 
Africa nzima sisi majanga TUMEMUACHIA MUNGU
Ni kama suala hili ni la kisiasa zaidi watu waliosomea wapo mtaani na AMBAO HAWANA hujuzi ndo wapo just imagine unaenda sehemu za usimamaizi wa maafa wapo forest expats 😎
 
Back
Top Bottom