Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
KumekuchaMbowe akisoma maazimio hayo asema, Kamati Kuu ya CHADEMA imeazimia serikali kuwachukulia hatua wote walioigiza nchi hii kwenye mkataba mbovu ambao haurekebishiki, mkata ambao ni mbovu mpaka unafanya watu milioni 60 kuonekana watu wa ajabu.
Akiongeza kuwa haiwezekani watu hao wameingiza nchi katika mkataba huu mbovu na bado wameachwa tu mpaka sasa
Akiongeza kuwa haiwezekani watu hao wameingiza nchi katika mkataba huu mbovu na bado wameachwa tu mpaka sasa.[emoji419][emoji375]Mbowe akisoma maazimio hayo leo 14/7/2023 katika mkutano wa CHADEMA na Waandishi wa Habari juu ya maamuzi yaliyofikiwa na Kamati Kuu kuhusu Mkataba wa Bandari amesema, Kamati Kuu ya CHADEMA imeazimia serikali kuwachukulia hatua wote walioigiza nchi hii kwenye mkataba mbovu ambao haurekebishiki, mkataba ambao ni mbovu mpaka unafanya watu milioni 60 kuonekana watu wa ajabu.
Akiongeza kuwa haiwezekani watu hao wameingiza nchi katika mkataba huu mbovu na bado wameachwa tu mpaka sasa.