Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
Kuna mjadala mpana nimeukuta mahali kuhusu mgawanyo wa nafasi za Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama umezingatia umoja wa kitaifa bila ubaguzi wa dini, jinsia, kanda na makabila.
Kwa upande wa CCM Wajumbe wa Kamati Kuu wa kuteuliwa
1: Mizengo Pinda (Waziri Mkuu mstaafu),
2. Hassan Wakasuvi (mwenyekiti CCM Tabora),
3. Halima Mamuya ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa umoja wa wanawake Tanzania.
Kwa upande wa Zanzibar
1: Mohamed Abood Mohamed,
2: Injinia Nasri Ally
3: Leyla Burhan Ngozi
Wajumbe wa Kamati Kuu wanaoingia kwa nafasi zao
1. Dk. Samia Suluhu Hassan ( Mwenyekiti)
2. Komredi Abdulrahaman Kinana (Makamu Mwenyekiti)
3. Daniel Chongolo (Katibu Mkuu)
4. Sophia Mjema (Katibu wa Itikadi na Uenezi)
5. Dkt. Hussein Mwinyi ( Rais wa Zanzibar)
6. Dkt. Philip Isdor Mpango ( Makamu wa Rais)
7. Hemed Suleiman Abdulla ( Makamu wa Pili wa Rais- SMZ)
8. Dkt. Tulia Ackson (Spika wa Bunge JMT)
9. Zubeir Ali Maulid (Spika wa Baraza la Wawakilishi)
10. Annamringi Macha, (Naibu Katibu Mkuu Bara)
11. Mohamed Said Dimwa (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar)
Naomba orodha ya upande wa CHADEMA ya Wajumbe wa Kamati Kuu ninaowajua kwa harakaharaka. Wengine tujazie
1. Freeman Mbowe (Mwenyekiti)
2. Tundu Lissu ( Makamu Mwenyekiti Bara)
3. John Mnyika (Katibu Mkuu)
4. Mchungaji Peter Msigwa
5. John Heche
6. Joseph Mbilinyi
Kwa upande wa CCM Wajumbe wa Kamati Kuu wa kuteuliwa
1: Mizengo Pinda (Waziri Mkuu mstaafu),
2. Hassan Wakasuvi (mwenyekiti CCM Tabora),
3. Halima Mamuya ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa umoja wa wanawake Tanzania.
Kwa upande wa Zanzibar
1: Mohamed Abood Mohamed,
2: Injinia Nasri Ally
3: Leyla Burhan Ngozi
Wajumbe wa Kamati Kuu wanaoingia kwa nafasi zao
1. Dk. Samia Suluhu Hassan ( Mwenyekiti)
2. Komredi Abdulrahaman Kinana (Makamu Mwenyekiti)
3. Daniel Chongolo (Katibu Mkuu)
4. Sophia Mjema (Katibu wa Itikadi na Uenezi)
5. Dkt. Hussein Mwinyi ( Rais wa Zanzibar)
6. Dkt. Philip Isdor Mpango ( Makamu wa Rais)
7. Hemed Suleiman Abdulla ( Makamu wa Pili wa Rais- SMZ)
8. Dkt. Tulia Ackson (Spika wa Bunge JMT)
9. Zubeir Ali Maulid (Spika wa Baraza la Wawakilishi)
10. Annamringi Macha, (Naibu Katibu Mkuu Bara)
11. Mohamed Said Dimwa (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar)
Naomba orodha ya upande wa CHADEMA ya Wajumbe wa Kamati Kuu ninaowajua kwa harakaharaka. Wengine tujazie
1. Freeman Mbowe (Mwenyekiti)
2. Tundu Lissu ( Makamu Mwenyekiti Bara)
3. John Mnyika (Katibu Mkuu)
4. Mchungaji Peter Msigwa
5. John Heche
6. Joseph Mbilinyi