johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadaye likapitishwa na Kikao cha Baraza Kuu Tundu Lissu akiwemo pia.
Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya Ubunge Kigoma Mjini.
Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?
Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya Ubunge Kigoma Mjini.
Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?
Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.
Maendeleo hayana vyama!