Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ndio usumbufu ?Cdm walisumbua sana kipindi cha JK. Wanarudi tena. Mama awe makini sana. Hawana jema hao.
Waambie kina Mbowe, Sugu, Lema, Msigwa, Heche warudishe pesa zote za ubunge na mafao waliyolipwa kutoka HAZINA kama hawana NJAA.njaa ndio zinawafanya mhongwe mifuko ya chumvi
dunia nzima mkuuNaona hili suala la viongozi wa CHADEMA kukamatwa limepata coverage kubwa Aljezeera
hizi ndio zile ID zilizoitwa buku 7 fcpole mkuu, kua mvumilivu mumeo dj ataachiwa.
Hata la kuangushwa na konyagi lilipaa dunia nzimadunia nzima mkuu
Dharura sio dharula.Jamani hata herufi tunashindwa kuziandika?Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika
Waje na mkakati wa kuandamana hakuna namnaTaarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika
Itakuwa kanda ya akina BashiteDharura sio dharula.Jamani hata herufi tunashindwa kuziandika?
Nyumbu ni nyumbu tu. Hata umtandike bakora ngapi unyumbu wake hautamtoka.Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika
I hate CCMTaarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika
Mungu awatie nguvu waje na maamuzi magum,na yakiume kweli kweli, michezo hii halikubaliki, wasibembelezwe wale, iwe ni lazima kuachia watuTaarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika
Na wewe mjane tukupe pole pia, mmeo jiwe tulikuwa bado tunamhitaji.pole mkuu, kua mvumilivu mumeo dj ataachiwa.
Halafu unaweka avata ya Steve Biko si ungeweka ya mbulula mwenzakoCdm walisumbua sana kipindi cha JK. Wanarudi tena. Mama awe makini sana. Hawana jema hao.