Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kwa dharula tarehe 22/7/2021

Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kwa dharula tarehe 22/7/2021

Tumekuwa tukishauri wapinzani nchini mabadiliko ya kweli yataanza kwa watanzania kupata Elimu nzuri ya uraia, watanzania kutambua haki zao za msingi Kikatiba, kisheria.
Watanzania wakiwaelewa haki zao watazisimamia wao wenyewe bila hata kuhamasishwa.
 
Tumekuwa tukishauri wapinzani nchini mabadiliko ya kweli yataanza kwa watanzania kupata Elimu nzuri ya uraia, watanzania kutambua haki zao za msingi Kikatiba, kisheria.
Watanzania wakiwaelewa haki zao watazisimamia wao wenyewe bila hata kuhamasishwa.
Mkidhibiti asasi za kiraia na mikutano na makongamano mnadhani ni wapi ambako wananchi watapata elimu hiyo ?
 
Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.

Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.
Siku kama hizi ninamkumbuka sana mzalendo El Comandante hayati JPM....

ALISEMA TUTAMKUMBUKA...

NINAMKUMBUKA kama mtuliza nchi pale "wajinga" wanapotaka "kuleta taharuki"....

#KaziInaendelea
 
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa ,
Ajenda ya mkutano huo inaweza kuwa moja tu:
Kupelekwa mahabusu kwa viongozi wa CHADEMA iwe beji ya heshima badala ya kuiona kama ni mwisho wa maisha yao.

Ukitaka uongozi CHADEMA ni lazima ukubali kupitia kwenye tanuru hilo upate heshima.

CCM wametumia sana kuweka watu mahabusu kuwa ndiyo kinga kwao na kuwatia woga viongozi wasiweze kushiriki kwenye mapambano ya ukombozi huu mpya wa kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu za wananchi.
 
EeenHeee,
Sasa inabidi niulize hili swali: Una undugu na Msiba, yule chawa wa Magufuli?

Mambo yenu yanafanana sana, ni maji mnayokunywa mkiwa wadogo ndiyo yanayosababisha mfanano huu?
Wewe una undugu na Sugu au Heche, machawa wa makengeza mbowe ?

Shida nini mpaka mnakuwa misukule hivi, mnashindwa kutumia akili zenu wenyewe mpaka mnakuwa wafuasi wa mtu aliyetaga.
 
Vile wanawaza na kutamani juu ya kuvamia mkutano wa kamati kuu pia![emoji16][emoji16][emoji16]
MAEebVX.jpg
 
Siasa bwana ni mchezo mchafu lakini amino nawaambia Mungu anawaona.

Pole kwa Msiba ingawa tulizuiwa kushiriki kwasababu ya kuokoa watu na maambukizi niliona kama upo makini kumbe ulikuwa siasa!

Sasa haya mnayoyafanya mbona yanapingana na Ile mliyotuaminisha kwamba kukusanyika ni hatari?
 
Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.

Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.
mmedekezwa na kuchezea sharubu za maza, natamani awaonyeshee shoo kidogo ili akili ziwakae sawa. ukichezea nyani mahindi yote yataliwa. hamnaga akili tatizo.
 
Waambie kina Mbowe, Sugu, Lema, Msigwa, Heche warudishe pesa zote za ubunge na mafao waliyolipwa kutoka HAZINA kama hawana NJAA.

Waambie Chaggadomo warudishe RUZUKU yote waliyopewa kama hawana NJAA 👇👇
  • Milioni 350M kila mwezi kwa miaka mitano ( 2010- 2015 )
  • Milioni 450 kila mwezi kwa miaka 5 ( 2015-2020)

Njaaaaa ndio inakimbiza kimbiza huko kina Mbowe, Msigwa na Heche
Ujinga ni sehemu ya maisha, lakini ukizidi unaitwa upumbavu! Ni vizuri ukajifunza kuficha ujinga wako ndani ya kichwa chako!
 
Waambie kina Mbowe, Sugu, Lema, Msigwa, Heche warudishe pesa zote za ubunge na mafao waliyolipwa kutoka HAZINA kama hawana NJAA.

Waambie Chaggadomo warudishe RUZUKU yote waliyopewa kama hawana NJAA [emoji116][emoji116]
  • Milioni 350M kila mwezi kwa miaka mitano ( 2010- 2015 )
  • Milioni 450 kila mwezi kwa miaka 5 ( 2015-2020)

Njaaaaa ndio inakimbiza kimbiza huko kina Mbowe, Msigwa na Heche
Huna lolote wewe njaa,wivu na ujinga ndivyo vinavyokusumua.
 
Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.

Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.
Kamati ya harusi
 
Back
Top Bottom