Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Tumekuwa tukishauri wapinzani nchini mabadiliko ya kweli yataanza kwa watanzania kupata Elimu nzuri ya uraia, watanzania kutambua haki zao za msingi Kikatiba, kisheria.
Watanzania wakiwaelewa haki zao watazisimamia wao wenyewe bila hata kuhamasishwa.
Watanzania wakiwaelewa haki zao watazisimamia wao wenyewe bila hata kuhamasishwa.