Mkidhibiti asasi za kiraia na mikutano na makongamano mnadhani ni wapi ambako wananchi watapata elimu hiyo ?Tumekuwa tukishauri wapinzani nchini mabadiliko ya kweli yataanza kwa watanzania kupata Elimu nzuri ya uraia, watanzania kutambua haki zao za msingi Kikatiba, kisheria.
Watanzania wakiwaelewa haki zao watazisimamia wao wenyewe bila hata kuhamasishwa.
Ndiye .Wewe ni kinuju uliewahi kupita Sengerema Sec?
Siku kama hizi ninamkumbuka sana mzalendo El Comandante hayati JPM....Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.
EeenHeee,Kuna posho 🤣
Ajenda ya mkutano huo inaweza kuwa moja tu:Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa ,
Wewe una undugu na Sugu au Heche, machawa wa makengeza mbowe ?EeenHeee,
Sasa inabidi niulize hili swali: Una undugu na Msiba, yule chawa wa Magufuli?
Mambo yenu yanafanana sana, ni maji mnayokunywa mkiwa wadogo ndiyo yanayosababisha mfanano huu?
Unajua maana ya freedom of expression wewee?Cdm walisumbua sana kipindi cha JK. Wanarudi tena. Mama awe makini sana. Hawana jema hao.
mmedekezwa na kuchezea sharubu za maza, natamani awaonyeshee shoo kidogo ili akili ziwakae sawa. ukichezea nyani mahindi yote yataliwa. hamnaga akili tatizo.Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.
Ujinga ni sehemu ya maisha, lakini ukizidi unaitwa upumbavu! Ni vizuri ukajifunza kuficha ujinga wako ndani ya kichwa chako!Waambie kina Mbowe, Sugu, Lema, Msigwa, Heche warudishe pesa zote za ubunge na mafao waliyolipwa kutoka HAZINA kama hawana NJAA.
Waambie Chaggadomo warudishe RUZUKU yote waliyopewa kama hawana NJAA 👇👇
- Milioni 350M kila mwezi kwa miaka mitano ( 2010- 2015 )
- Milioni 450 kila mwezi kwa miaka 5 ( 2015-2020)
Njaaaaa ndio inakimbiza kimbiza huko kina Mbowe, Msigwa na Heche
Huna lolote wewe njaa,wivu na ujinga ndivyo vinavyokusumua.Waambie kina Mbowe, Sugu, Lema, Msigwa, Heche warudishe pesa zote za ubunge na mafao waliyolipwa kutoka HAZINA kama hawana NJAA.
Waambie Chaggadomo warudishe RUZUKU yote waliyopewa kama hawana NJAA [emoji116][emoji116]
- Milioni 350M kila mwezi kwa miaka mitano ( 2010- 2015 )
- Milioni 450 kila mwezi kwa miaka 5 ( 2015-2020)
Njaaaaa ndio inakimbiza kimbiza huko kina Mbowe, Msigwa na Heche
Kamati ya harusiTaarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani , kwenye Mkutano wake wa dharula aliouitisha Maalum.
Bado haijafahamika ajenda zitakazojadiliwa , lakini suala la Kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa chama hicho , akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe , ambaye alivamiwa na kutekwa kisha kufichwa kusikofahamia linatarajiwa kuchukua nafasi kubwa.
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika.