Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
Updates:
=======
Viongozi wa Chadema Wakiwasili
Wakaanza na Dua kabambe
Baadhi ya Watia nia Kanda ya Pwani wakiwa Kiroho Juu Nje ya Ukumbi
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
Updates:
=======
Viongozi wa Chadema Wakiwasili
Wakaanza na Dua kabambe
Baadhi ya Watia nia Kanda ya Pwani wakiwa Kiroho Juu Nje ya Ukumbi