Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kwa siku mbili

Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kwa siku mbili

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;

Screenshot_2024-09-16-18-41-35-1.png

Updates:
=======

Viongozi wa Chadema Wakiwasili

Screenshot_2024-09-17-12-36-12-1.png
Screenshot_2024-09-17-12-35-41-1.png


Wakaanza na Dua kabambe

Screenshot_2024-09-17-12-35-25-1.png
Screenshot_2024-09-17-12-35-16-1.png
Screenshot_2024-09-17-12-35-08-1.png
Screenshot_2024-09-17-12-34-59-1.png


Baadhi ya Watia nia Kanda ya Pwani wakiwa Kiroho Juu Nje ya Ukumbi

Screenshot_2024-09-17-12-37-56-1.png
 
Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;

Asante sana kwa taarifa hii, Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!. Nashauri CC ya Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Pia nakupongeza sana wewe, ile post ya Tumaini Makene inaku fit sana!.
P
 
Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;

vikao vya mkopo hivyo halafu baade kuna watu wanakuja kuhoji matumizi ya pesa za chama yapoje aise...

kila la kheri kamati kuu 🐒
 
Kila la kheri,Ngoja niwaambie ndugu zangu,Wacha tusitishe maandamano,tutapata Matokeo mabaya, Huenda tukatekwa!
 
Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;

Wangefanyia kikao Kilimanjaro nyumbani
 
Back
Top Bottom