Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
AminaAsante kwa taarifa kiongozi
Asante sana kwa taarifa hii, Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!. Nashauri CC ya Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
vikao vya mkopo hivyo halafu baade kuna watu wanakuja kuhoji matumizi ya pesa za chama yapoje aise...Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
Meku haina kweree tutawawakilisha vema.Kila la heri kwao
Msiwavamie tuvikao vya mkopo hivyo halafu baade kuna watu wanakuja kuhoji matumizi ya pesa za chama yapoje aise...
kila la kheri kamati kuu π
Tulia weweee acha porojo jamvin panua wigo mpanavikao vya mkopo hivyo halafu baade kuna watu wanakuja kuhoji matumizi ya pesa za chama yapoje aise...
kila la kheri kamati kuu π
Kabisa meku.Meku haina kweree tutawawakilisha vema.
Asante sana kwa taarifa hii, Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!. Nashauri CC ya Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Pia nakupongeza sana wewe, ile post ya Tumaini Makene inaku fit sana!.
P
Kila la kheri,Ngoja niwaambie ndugu zangu,Wacha tusitishe maandamano,tutapata Matokeo mabaya, Huenda tukatekwa!
Wangefanyia kikao Kilimanjaro nyumbaniHii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;