Hawa wachagga bana ,taarifa inatolewa na mchagga ,mwenyekiti mzee Mbowe atawasilisha mapendekezo uchwara na mjomba wake Lema atakesha X kupiga makelele na kuita watu ni wapumbavu ,hivi cdm akili zimo kweli ?Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
ni muhimu zaidi wasijiteke 🐒Msiwavamie tu
Ova
Endapo hili litafanyika chadema watajitambulisha kwa jamii kama sehemu ya maovu hayo.Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!.
Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
Hawana jipya!Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
Bado mnatumia Ufipa...si Mna jengo jipya kule Mikocheni? Au mmeishabadili matumizi?Hii hapa ndio Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida. Kikao hicho cha siku mbili kitaanza kesho Jumanne, Septemba 17 mpaka 18, 2024 Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea;
Pale Chadema sihitaji cheo chochote, nina hakika ninayoyafanya kwenye chama hiki yamevuka ngazi ya vyeoAsante sana kwa taarifa hii, Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!. Nashauri CC ya Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Pia nakupongeza sana wewe, ile post ya Tumaini Makene inaku fit sana!.
P
Naunga mkono hoja na hiyo ndio ukereketwa na ufurukutwa, unapaswa pia kuwa mzalendo kwa nchi yako kwanza, national patriotism ndipo uje kwenye chama, kama alivyofanya ZZK kwenye ile "bonafide genuine", ukiona chama kinapanga mambo ya ajabu ajabu ya kuhatarisha usalama, unaripoti kunakohusika kabla, kama wazalendo wenu walivyoripoti maandamano yakazuiwa!. Nchi kwanza, vyama baadae!.Pale Chadema sihitaji cheo chochote, nina hakika ninayoyafanya kwenye chama hiki yamevuka ngazi ya vyeo
Uzalendo haulazimishwi, ni Wito tu , na Zitto si Mzalendo wa Kuigwa kiasi cha mimi kufuata mwenendo wake.Naunga mkono hoja na hiyo ndio ukereketwa na ufurukutwa, unapaswa pia kuwa mzalendo kwa nchi yako kwanza, national patriotism ndipo uje kwenye chama, kama alivyofanya ZZK kwenye ile "bonafide genuine", ukiona chama kinapanga mambo ya ajabu ajabu ya kuhatarisha usalama, unaripoti kunakohusika kabla, kama wazalendo wenu walivyoripoti maandamano yakazuiwa!. Nchi kwanza, vyama baadae!.
P
Hizi mentality haziwezi kutusaidia kuondokana na tawala hii kandamiza ya CCMAsante sana kwa taarifa hii, Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!. Nashauri CC ya Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Pia nakupongeza sana wewe, ile post ya Tumaini Makene inaku fit sana!.
P
Kuna Mkakati wa Watekaji humu jf unaitwa Nchi kwanza , Pascal naye kaingiaHizi mentality haziwezi kutusaidia kuondokana na tawala hii kandamiza ya CCM
kAndiko lako lililenga kunijulisha jambo fulani, nimeelewa.
Unachosha MzeeAsante sana kwa taarifa hii, Ekaristi Takatifu inakwenda kuanza kazi na kufanya kitu!. Nashauri CC ya Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Pia nakupongeza sana wewe, ile post ya Tumaini Makene inaku fit sana!.
P
Tatizo sio CCM!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...Hizi mentality haziwezi kutusaidia kuondokana na tawala hii kandamiza ya CCM