Kamati Kuu ya CHADEMA, mkiteua wabunge wa Viti Maalumu kuingia Bungeni, mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana

Ndugu Chadema potezeeni hii Mada hapa jamvini..
Mshazoe kushika mshiko. Nawashauri msiache kwenda bungeni kwa Viti Maalumu
1. Mbowe
2.Mdee
jazia wengine!
 
Niuzieni CHAMA chenu wakuu, ili nipeleke wabunge wangu bungeni.
 
Kama viongozi wa CHADEMA wana MTAZAMO mpana na chama basi hawatakiw kupeleka wabunge wa viti maalumu, ili kuwa na future kubwa na kuendelea kukubalika. Lakin kama wakitaka mwisho wa CHADEMA uwe 2025 basi wapeleke viti maalumu. Kupeleka viti maalumu kuta prove jambo moja ambalo ni hatari kisiasa, na jambo hilo ni 1:, itaonesha nguvu ya chadema ndipo ilipoishia kupata mbunge 1, ndio maana wamekubali kupeleka wabunge wa viti maalumu. 2 , wamekubaliana na matokea na zile kelele za awali ilikuwa hasira tu sasa zimeisha.
Finally, atakuja pole pole ataitaa press conference, kuwananga, asema mbona wamekubali special seat, does it mean hata matokeo wamekubali ilikuwa siasa tu. Then 2025, chadema itakuwa bye bye, maana wafuasi wengi watajua uchaguzi ulikuwa sawa, lkn chama kimepoteza mvuto hivyo hakuna wa kupapalika na CHADEMA tena. Mara Chadema inakuwa TLp version so sad. They need to act smart.
 

Umefikilia swala la kuwa chama kitaishi vipi?

Umefikilia swala la kuwa kimya kwa miaka mitano yote?

Unataka chama chako kiwe chama kikuu cha upinzani then utaki kupeleka wabunge bungeni
 
[emoji1][emoji1] Wabongo ubinafsi ndio unaotumaliza. Majina yatapelekwa tu NEC. Watu hawapo kutetea mslahi ya wananchi bali matumbo yao, na famia zao.
 
Mkuu una akili sana

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa ni KILAZA kweli, kwani ile FAINI ya 300m nani alilipa?

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Unawadanganya viongozi wako na unawaingiza chaka kabisa.Mwaka huu kulikuwa na wagombea urais 13 ccm inao uwezo wa kupata wabunge wa upinzani bila hata chadema na ACT kuwemo.Zanzibar Seif alususa lakini serikali haikusimama na ilikubalika kimataifa.
na hicho ndicho kinatakiwa kiwe kwa mazingira ya sasa. vinginevyo kukubali uteuzi ni tusi na dharau kubwa kwa cdm , act na waNanchi kwa ujumla na teuzi hizo katu na kamwe haziwez kujenga utawala wa kidemokrasia na kisheria ambayo ndiyo hoja ya msingi ya cdm act na wananchi walio wengi. mandela aliambiwa achugue kati ya kuacha kudai demokrasia lakin awe huru((yeye binafsi) au aendelee kudai demokrasia lakin aozee jela.....Madiba alichagua njia ngumu ya kuozea jela miaka 27 ili demokrasia ipatikane. njia iendayo motoni ni pana sana lakini ili iendayo mbinguuni ni nyembamba sana na ina miba na mateso mengi ila muda mrefu baada ya mateso inakufikisha mbinguni
 
Acha kuwadanganya hawakupigania katiba wakiwa wengi na vichwa wataweza leo ushauri wangu chadema wakubali kupoteza tu
 
Kama serikali inawatambua Hao watu ww ni Nani Mpaka ujifanye una akili Sana?

Kwani ccm hakuna matajiri?
Wale wakina Rostam, Asas, wale ni maskini?

Huna hoja
Hatukatai watu kuwa matajiri, swala ni kwamba hatutaki ujanja ujanja wa kula pesa za walipa kodi na kuwafanya walipa kodi wajinga. Mlevi wa Konyagi yeye ni kutumia Saccos kujitajirisha bila kufanya kile ambacho wananchi wa tanzania wanataka afanye. Mnalialia mambo ya dictatorship lakini mnaelewa kweli maana ya neno hilo? Au mnakariri tu kama kasuku?
 

Sijui elimu yako ni ya level gani
Umewahi kufatilia ukaguzi wa CIG kwa vyama vya siasa?
 
Sijui elimu yako ni ya level gani
Umewahi kufatilia ukaguzi wa CIG kwa vyama vya siasa?
Wacha pumba, wewe unafikiri CIG tu na CAG anafanya kazi gani? Thats your level.
 
Kuna mnyukano huko wa hatari kina Matiko, Mdee, Bulaya, Magelesi and the likes wameunda women wing kushinikiza kamati kuu kuwaruhusu wateuliwe na kushiriki bingeni kama viti maalum, vinginevo wakiwahama wasilalamike.
Wahame tu,cdm ni taasisi si watu
 
Hiyo ndiyo umeona ni akili?
Hakuna kuruhusu mbunge wala diwani kwenda kuapa
Akienda yeyote afutwe uanachama papo hapo
 
Wacha pumba, wewe unafikiri CIG tu na CAG anafanya kazi gani? Thats your level.
Ww ndio unaongea pumba
Hizo ela ambazo viongozi wa chadema wanakula zinatoka wapi?

Acha uzwazwa ww
 
Kweli chadema Mambo ya viti maaluum achana nayo Kama ni pesa za kuendesha chama wanachama watachangia, sio mda wa viti mahalum kwa Sasa mje na FAMILIA YA CHADEMA NCHI NZIMA KUSHIKAMANA NA KUSAIDIANA KATIKA SHIDA NA RAHA
CHADEMA miaka 5 ya ruzuku hakuna kilichofanyika

CHADEMA ikachangisha tiba ya Lissu, zikaliwa

CHADEMA ikachangisha fedha za kulipia kifungo cha viongozi wao, wasishukuri wala kuomba msamaha

CHADEMA hao hao wakatembeza bakuri la kampeni, kiongozi mjanja akazikwapua

Sasa ati mnataka kutembeza bakuri lingine, hamjifunzi?
 

Ruzuku za ccm zaidi ya billion kwa mwez wamefanya kitu gani?

Chadema ruzuku yao ni 250milion kwa mwez na ccm ni bilion moja plus

Unauliza mwenye pesa ndogo amefanya nn why usiulize mwenye pesa nyingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…