CHADEMA miaka 5 ya ruzuku hakuna kilichofanyika
CHADEMA ikachangisha tiba ya Lissu, zikaliwa
CHADEMA ikachangisha fedha za kulipia kifungo cha viongozi wao, wasishukuri wala kuomba msamaha
CHADEMA hao hao wakatembeza bakuri la kampeni, kiongozi mjanja akazikwapua
Sasa ati mnataka kutembeza bakuri lingine, hamjifunzi?