Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa CCM kuketi kikao maalum Jumamosi (20/03/2021). Yatangaza siku 21 za maombolezo

Panadol
amoxylin
fragil
 
Mwenyekiti wa chama atakua ni samia au watateua mwingine
 
Bashiru kuwa VP.
Sahau ..... Kale kautaratibu kao CCM ka mgawanyo wa udini katamuangusha. Ni muda ya kumwekea mwana CCM halisi... Most probably ni Mwenyekiti wa zamani wa vijana, Emanuel Nchimbi, kama vile Kigogo anavyodai.
 
Bashiru haingii tena yeye kabaki na Makamu wa Rais,
Sema Kikao hicho wakaribishwe Wazee wa Chama kama J. Kikwete, A. Kinana, Mzee Yusuf Makamba ndipo jina litatoka zuri kuliko kumkaribisha Bashiru huenda ana majina.
Hata nafasi nyeti afai atatuletea itikadi za jiwe,vipi presida akifarki si tunarudi kulekule tulipotoka.
 
Wanajeshi (JWTZ) Ndio wame sema kuwa Ni siku 14 .hizo 21 Ni za ccm
Kwa hiyo aliagizwa atamke siku saba pungufu kinyume na sheria na jeshi sio? Basi anaendeshwa na ataendelea kuendeshwa akishindwa wanamweka pembeni.

Karma is as equal to throwing a stone in sky and drfits down by gravitational force. Karma is not like smoke rising in sky that does not come down.. Karma is a revolving barrel gun that kills the killer alike without mercy.

Do not forget the Elites and Factionalism Class who decide who is to be who, where, when and for what purpose over s specified period of time.
 
Mawazo ya kidini ondosha huko
 
Wazungu wenyewe wameamua kusitisha pamoja na WHO kuioigia debe!!
 
Kwendeni zenu! Bado tupo kwenye maombolezo msianze ulafi wa kutafutiana vyeo!!
Nchi haiwezi kusimama, lazma maisha yaendelee tu dogo ijapo tunaomboleza, lazma tujue tunaendaje mbele..

Mahiga alipofariki, alikuwa ameshachaguliwa waziri wa kumrithi hata kabla hajazikwa. Hii ni kukuonyesha kuwa, pamoja ya kuwa ni kweli tunaomboleza, lakn ni lazma taifa lisonge
 
14days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…