Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa CCM kuketi kikao maalum Jumamosi (20/03/2021). Yatangaza siku 21 za maombolezo

Uko sahihi mkuu, ila kumbuka tuko katikati ya msitu na mama amebeba mtoto mgongoni akikatisha msitu huo kisha sauti ya simba wa nyika akiunguruma ndipo mtoto anapata HOFU ya usalama wake na wa mama ananza kulia kwa uchungu huku akiruhsa miguu akitaka mama arudi wamchukue baba ili waambatane kuvuka msitu huo uliojaa wanyama wakali.

Kitu gani kilitokea? Safari ndio hii shuhudia mwenyewe pasipo kusimuliwa kwa kuwa ni mtu mzima.
 
Mswada wa sheria ya eneo la kuzikia viongozi huko Dodoma uliondolewa na eneo lililoteuliwa kugawiwa kwa wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…