Kamati ndogo suala la posho yaundwa! Mbowe ndani!

Hilo sio bunge la katiba, ni bunge la kupigania posho kwa wahuni/makupe hayo! Mbowe kama maamuzi yatakuja kuwa posho ziongezwe ajiuzulu huo ujumbe, vinginevyo ni walewale!
 
hiyo kamati nayo si italipwa posho za vikao...wao nani atawachunguza
 
Posho inaonesha ni kipaumbele namba moja ya wajumbe wa Bunge la Katiba! Wanatafuta njia ya kuhalalisha kusudio Lao kwa kuunda Kamati ili waje waseme ndiyo mapendekezo yanayoungwa na wajumbe wote!
 
Mwl.Nyerere alisha punguza posho yake baada ya malalamiko ya wasomi.Naona rais akipunguza yakwake wabunge watanyamaza.
 
Ufisadi na ubedui huanza taaratibu...Ukipewa haki yako unahisi haitoshi unataka na cha jirani yako! Tutegemee mengi zaidi
 

Lukuvi ccm,Kimiti ccm,aboud ccm,mhagama ccm, kura 4 zidi ya 2 Makame cuf,Mbowe chadema .jibu rahisi wazee wa posho wamesha shinda ata kabla ya uchunguzi kuanza ,
 
Nimepata taarifa za kuhuzunisha kupitia vyombo mbali mbali vya habari eti wabunge wateule wa raisi na wale tuliowachagua watuwakilishe kwenye bunge la katiba wamegeuza pale bungeni kuwa mahali pa kudai returns.... divindeds,miposho kama kiinua mgongo..... watu tunaumiza vichwa ni namna gani katiba mpya itakavyo tuathiri sisi na vizazi vyetu miaka nenda miaka rudi... siku ya kwanza wanaenda kudai posho..... what a bunch of useless representatives?
Eti maisha ya Dodoma magumu, ni wapi maisha ni rahisi?hapo dodoma mwalimu analipwa bei gani?
Mh. Raisi uliwaokoteza wapi hawa wahuni wanaodhani Bunge la katiba ni sehemu ya kwenda kutanua?
Ingekuwa busara Raisi Kikwete akalivunja hili genge la wabinafsi na wenye uchu wa hela za bure tukaanze upya....
mlijua hapo ni mahali pa kwenda kutafuta hela za kujenga nyumba? kazi ziko nyingi! si mkalime?

OMBI MAALUMU KWA MH. MBOWE.
Move yeyote itakayopelekea posho kuongezwa hata kwa senti moja... utakuwa umearibu image ya chama ambacho wewe ni mwenyekiti wake..., Chama kilichojitoa kwa hali na mali kumtetea mtanazia kwa hali zote na kwa haki....!embu fikiria 300,000*20*3=18,000,000 huo ni mshahara wa mwalimu wa digrii kwa takribani miaka 4.....!
Mh. Mbowe umepewa mtego wa kifo..... akili za kuambiwa changanya na zako.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Kama posho zitaongezwa ni taamini mbowe ni walewale maccm na makupe! Je hapo dodoma wametumwa wakale starehe? Je gharama zimepanda kwa wabunge tu? Nimeamini hili ni bunge la wahuni na wapiga dili!
 
Kwani Mbowe ndio anaongea posho? Ole wenu mliochagua magamba
 
Tulisema JK kachagua maCCM menzake mkabisha. turieni mkamuliwe WATANZANIA vichwa vyenu vinatumia ubongo wa ndege (nyuni)mkiambiwa msichague maCCM mnaanza Oo! CCM babaetu PU.MBA.VU zenu. bora mi MNGONI wa A/KUSINI. nilipotea tu njia nikajikuta niko TZ
 
Tulisema JK kachagua maCCM menzake mkabisha. turieni mkamuliwe WATANZANIA vichwa vyenu vinatumia ubongo wa ndege (nyuni)mkiambiwa msichague maCCM mnaanza Oo! CCM babaetu PU.MBA.VU zenu. bora mi MNGONI wa A/KUSINI. nilipotea tu njia nikajikuta niko TZ

Lipumba. mtatiro. mtikila ni ccm?
Makaidi naye je?
Kikwete kateua majina miongoni mwa majina mliyompelekea na mengine kateua rais wa zanziba.
 
Msemaji wa serikali na kiongozi wa wapingaji wa serikali kuunda kamati ya kufuatilia marekebisho ya posho, ndo ukomavu wa demokrasia au ni mitego? Kila mmoja akisimama kwenye msimamo wake itakuwaje? Ama mbowe ataonyesha kwa vitendo kauli yake ya kuitaka serikali ipunguze matumizi? Lets wait n see!
 
Mkuu kwa nini unadhani wameomba waongezewe posho? Je unadhani wamekurupuka tu?
Hivi ukiambiwa kwamba Posho inayotoka serikalini ni laki tisa halafu wao wanapewa tatu na zilizobaki zinakwenda kusikojulikana, utabisha?
Hawa watu inabidi wahojiwe kiundani na wawe wa kweli ni kwa nini wanataka posho iongezeke, najua hakuna ambae yuko tayari kusema ukweli kwa kuhofia kucha zake. teh teh teh..........
 
Namshauri Mbowe apendeleze posho ya elfu 80. Ndio utaratibu wa kawaida wa watumishi wa serikali. Shilingi milioni 7 na laki 2 zinamtosha kabisa mtu kuishi Dodoma kwa miezi 3
 
Mh mbowe ajitoe maana yuko mmoja kwa wao watano kura yake haito shinda ama aende na aje media chap atupe msimamo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…