Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Mkuu nilisikia eti Ndugayi alikuzuia hata kuvaa suti!
 
Huko kwenye mahojiano ni dunia nyingine kabisa, si sehemu salama abadani kwa ahojiwaye. Askofu ataleta majibu, tuwe wapole & wavumilivu kwa muda mfupi tuu
 
Lowasa huyo mdebwedo au hujui kuwa Gwajima ndiye aliyemshika mkono Lowasa kwenda Chadema? Kakobe huyo naye ameshalegea tayari. CCM na Serikali yake hawamuwezi Gwajima.
Ni hivi huyu Gwajima naye Ni mdebwedo tu,Kama alitepeta kwa Pengo usitegemee kuwa kwa Hili hatatepeta
 
Nimekuelewa mkuu ,kweli ukitaka kuua taifa ua elimu hizi consent form ni za kawaida na dunia yote inafanya hivi,mbona kwenye op za kawaida tunaweka sahihi zetu now why kwa hizi jab?
 
Unapewa per diem kabisa!
Nifanyeje ili nikahojiwe?
 
Kwa sababu swala lake linahusu afya za watu kitu ambacho ata ww ungeitaji ufafanuzi zaid ili ujue yup yupo sahh na yupi mpotoshaji
Fafanuzi zimetolewa sana na zinaendelea kutolewa. Ila kuna kundi ambalo halitakaa lielewe hata liletewe wataalamu kutoka Mars.
Tanzania kama nchi tunalazimika kufuata maelekezo kutoka vyanzo rasmi. Yeye anafuata maelekezo kutoka kwa wazee wa imani kali.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Shida ipo kwenye kulazimishana kuchanja chanjo ambayo haikufanyi usiambukizwe na kuuawa na corona!
Yeye anaongea na familia yake kama baba!
Kwani ww huwa huongei na familia yako kuhusu msimamo wako? Unaacha tu kila mmoja ajifanyie yake?
Kama msimamo wako ni kuchanja utawaeleza hivyo, wanaostahiri kuchanja wachajwe?
Lakini kama msimamo wako ni wa 'la', basi si ajabu ukapiga marufuku kwa wanafamilia yako wasichanje!
Hivyo ndivyo alivyofanya Gwajiboy, ingawa yy hakupiga marufuku bali aliwashauri tu!
Mtazamo wako ni finyu sana ukizingatia chanjo yenyewe haikukingi kihivyo 😜!
 

Naunga mkono chanjo naanze na hilo.

Pili nitoe masikitiko yangu kuwa nchi hii kuwa na msimamo tofauti na rais ni kosa this is not right.


Freedom of expression is paramount

Yote haya aliyataka mwendazake lakini.
 
Gwajima anapinga msimamo wa serikali halali,ni UAMUZI wa serikali kuwa covid 19 ipo na watanzania wapate vaccine jab ila kwa HIARI

Hiki ndicho kamati hii ya Bunge ili la Job Ndugai ilichomhoji leo au unajiandikia tu..?
yao,sasa wewe kutumia nyumba za ibada na kutamka kuwa waumini wako hawatachanja vaccine ni kupingana na government's of the day,

Wewe umekwenda shule sawasawa kweli? Ni nini hiki ulichoandika hapa...?
na kama Mr.Gwajima hapendi chanjo hiyo ni haki yake pia alikua na haki ya kuipeleka serikali mahakamani kupinga hizi chanjo.

Hujui kuwa Mungu Yehova ndiyo mahakama ya juu kabisa?
Nchi ina Rais mmoja na ndiye anayetoa directions nchi iende wapi,hukubaliani nayo nenda mahakamani.

Mungu Yehova ndiye mahakama ya juu zaidi kuliko zote mbinguni na duniani...!!
msimamo wangu binafsi watanzania wenzangu go out there and get a jab,pls do that mimi tayari nimepata jab.

Umeandika kitu gani hapa? Unajua hoja ya mjadala ni nini? Mbona unaleta mambo ya "jab, jab, jab..?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…