Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Pili nitoe masikitiko yangu kuwa nchi hii kuwa na msimamo tofauti na rais ni kosa this is not right.
Are you really serious?

Unajua maana ya hii kauli yako?

Kwa hiyo hata tukiwa na Rais mwehu na alete wehu wake ktk nchi halafu tukakataa ujinga wake, basi tutakuwa tunafanya kosa, au siyo...?

Kama wewe ni punda au kondoo wa dizaini hiyo, basi huyo ni wewe na kamwe haiwezi kuwa hivyo kwa sisi wengine...!!
 
Gwajima kasema anataka aelimishwe sasa mmeshindwa kumwelimisha mnamwita dodoma. Akili ndogo
 
Je, ulikalia kiti kilekile na kutumia mike ile ile au usukumani hilo halisruhusiwi?
 
GWAJIMA AFUKUZWE CCM ...

#NchiKwanzaKablaYaYeyote
 
Nadhani hukuelewa lugha niliyotumia, pole kwa usumbufu. Naona umuhimu wa walimu kutilia mkazo lugha za kigeni mashuleni.
 
Nadhani hukuelewa lugha niliyotumia, pole kwa usumbufu. Naona umuhimu wa walimu kutilia mkazo lugha za kigeni mashuleni.
Umetumia lugha ya kiswahili inayoeleweka vyema kabisa...

Shida yako iko kwenye mantiki (logic) ya argument yako kwamba;

"...kutokukubaliana na Rais wa nchi kwa kila kitu anachotaka ni makosa sana..."

Nami nakuambia, hilo ni la kwako peke yako, wengine hatuko huko...!!
 
usikute wewe umeaminishwa kuwa ukichanja hupati covid na huwezi ambukiza.
hapa naona itatengenezwa hoja kuwa maambukizi yamekuwa makubwa kwa kuwa wasio chanja wanaambukiza wengine
 
Kwangu Jehovah ni ushetani mkubwa,acha kabisa kugusa imani zangu mimi ni muumini wa mizimu yangu sio uchafu huu ulioletwa na Wageni.
 
Nimekuelewa comrade but hapa it was issue ya nduguyo gwajiboy na siyo experience ya kuitwa.
 

Nilichosema ni kuwa
" Pili nitoe masikitiko yangu kuwa nchi hii kuwa na msimamo tofauti na rais ni kosa this is not right.





Freedom of expression is paramount"

Sasa ume edit kutafsiri utakavyo na kunipa upande. Hebu elewa kwanza kabla ya kukurupuka
 
Nimekuelewa mkuu ,kweli ukitaka kuua taifa ua elimu hizi consent form ni za kawaida na dunia yote inafanya hivi,mbona kwenye op za kawaida tunaweka sahihi zetu now why kwa hizi jab?
Nimekupata. Shida ni kwamba hizi chanjo tumeshapata nyingi tu, lakini sasa nisaidie kwa upande wako chanjo ipi uliyowahi kusainishwa "consent form"? Nachojua chanjo sio operation.
 
Nimekupata. Shida ni kwamba hizi chanjo tumeshapata nyingi tu, lakini sasa nisaidie kwa upande wako chanjo ipi uliyowahi kusainishwa "consent form"? Nachojus chanjo sio operation.
unaelewa maana operation?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…