Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Naanza sasa kumwelewa Zitto na nazidi sana kumtofautisha na wanasiasa wengine wa upinzani. Well done Zito na wote wanaopinga ongezeko la posho. Kabla hawajaongeza posho wawaongeze kwanza mishahara watumishi wa Umma hasa walimu.
 
ukrane wameweza kumtimua rais sisi tunashindwa nini kuwatimua hawa wabunge? cdm acheni uoga,
 
jaman yani kuna watu hawajui maana ya mitandao ya kijamii
.
.yani kwa kuwa ww unatumia FB kuchat na wajinga wenzio hujui kuwa huo mtandao ni njia moja ya msingi sana katika kufanikisha mawasiliano....ndo mana unaitwa mtandao wa kijamii.....maana yake njia ya kuwasiliana kwa wanajamii....zzk hata kama ni mnafiki anapofanya vzr ni haki tuseme na kutumia fb kama njia ys mawasiliano siyo kosa ni njia nzuri kwani inawafikia watu wengi zaidi.
mapambano ni ya posho katiba ni njia tu ya kuifikia posho.


MUNGU IBARIKI TANZANIA

kuna watu wanamchukia zitto utadhani kaiba wake zao.hate the game nt the player
 
mimi nasemaa tupate mtu au taasisi ya kuandaa maandamano watanzania tuandamane hadi dodoma tukazuie hawa wabunge kuingia bungeni ni bora hiyo rasimu ikaletwa kwa wananchi tuipigie kura kama ilivyo bila maboresho
 
wapewe hata milioni kwa saa, wanatutengenezea katiba bhana, ila kabla ya kupewa utangazwe mshahara mpya kwa waalimu kuwa milioni 5 kwa mwezi, na askari polisi pia nyongeza ya milioni 4 kwa kila daktari toka mshahara wa sasa , na madai ya walimu wapewe kabla ya nyongeza yao. Tunakopesheka bhana deni la taifa hata nusu halijafika
 
nasikia Kiongozi KUB naye yumo kwenye kamati! hawa wanasiasa hawana maana, hakuna cha CCM, NCCR, CUF wala CDM. Ni walewale tu kinachowatofautisha ni majina tu. Tatizo la ZITTO KABWE hatendi anayoyasema. Mahubiri yake yanamtoa nyoka pangoni ila matendo yake yanamfanya nyoka akimbilie pangoni.
 
Naanza sasa kumwelewa Zitto na nazidi sana kumtofautisha na wanasiasa wengine wa upinzani. Well done Zito na wote wanaopinga ongezeko la posho. Kabla hawajaongeza posho wawaongeze kwanza mishahara watumishi wa Umma hasa walimu.

yep! ZZK ana point sana, ila ukimfuatilia matendo yake ni pasua kichwa!
 
Hawa wanasiasa wetu bwana kwa kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii...sasa kama ni msimamo wake, si asubiri kesho ndiyo aweke hiyo saini?

jinga wewe we unafikiri sain ya mtu au mjumbe mmoja ndio inatosha kuwazuia hao matapeli hio inahitaji pia nguvu ya uma, zito haja subiri mpaka rais apitishe ndio aje aseme katoa tarifa mapema ili wote tuungane pamoja kuzuia huo wizi
 
Hiyo kamati ya Posho si na Mbowe alikuwepo....!? imekuwaje sasa hiyo posho iongezeke na Mhe. wa Dubai alikuwepo kwny kamati......!!!?
 
Waacheni watu wale kwa nafasi zao.Mimi ningedai laki saba kwa siku
 
ukrane wameweza kumtimua rais sisi tunashindwa nini kuwatimua hawa wabunge? cdm acheni uoga,

We ni mwehu chadema wenyewe wanataka posho iongezwe sisi wananchi ndo tukiamua tuna weza na sio ccm wala chadema
 
akuna cha zito wala nini wote ni wanafiki tu wanaangalia matumbo yao.wote mapumbavu hakuna mzalendo
 
Ila hii ni kali!Ivi uongozi upo? Na sheria inasemaje?Kama walienda kufuata posho si wange sema?
 
Uongo mtupu.Kamati haijapendekeza kitu cha namna hiyo.

Huu ni uongo mkubwa wa kutaka sifa kwa Zitto Kabwe.
 
nasikia Kiongozi KUB naye yumo kwenye kamati! hawa wanasiasa hawana maana, hakuna cha CCM, NCCR, CUF wala CDM. Ni walewale tu kinachowatofautisha ni majina tu. Tatizo la ZITTO KABWE hatendi anayoyasema. Mahubiri yake yanamtoa nyoka pangoni ila matendo yake yanamfanya nyoka akimbilie pangoni.

mkuu umenena wote wanafiki tu hakuna cha peoplees wala kidumu chama majinga yote yanangalia matumbo yao
 
Back
Top Bottom