Kamati ya Bunge yabaini matumizi ya P2 yaongezeka

Kamati ya Bunge yabaini matumizi ya P2 yaongezeka

Sio unasikia ndio hali halisi unatakiwa umeze mara 2 tu kwa mwaka, ndio mana ziko kwenye kundi la " EMERGENCY" Huku kwetu zinamezwa usiku na mchana

ukiwaambia utaambulia maneno ya kebehi, kuna mdada anafanya nae kazi nilimwambiaga hata mimi imewahi kunidhuru madhara makubwa yaliyodumu miaka mi5 ,7 years ago akanambia panadol ina madhara, kila kitu kina madhara kwahiyo nipambane na hali yangu..
walinichangia kunikosoa jamani kama wanawake wa5 nikakoma na sitakaa nimshauri mtu kuhusu hilo tena.
Zilikusababishia nini? mkuu
Nmewaacha kwakweli

Mambo mengi makubwa kimwili na kisaikolojia. hata kuandika mtihani
Naomba nisaidie hata, niandikie inbox nipate kuyajua.
 
Zilikusababishia nini? mkuu

Naomba nisaidie hata, niandikie inbox nipate kuyajua.
Mimi nina ushuhuda wa mtu/watu anayetumia saana p2, amefunga ndoa mwezi wa 11, sasa hivi ana mimba yake ina wiki kadhaa sasa.

P2 inaweza ikawa na side effects zake lakini sio kubwa kama ambavyo tunataka kuzungumza hapa.

Katika maisha yako, hasa unapotumia madawa, hakikisha unapata milo 3, na uwe unakula chakula kizuri kabisa, basi.
 
Mimi nina ushuhuda wa mtu/watu anayetumia saana p2, amefunga ndoa mwezi wa 11, sasa hivi ana mimba yake ina wiki kadhaa sasa.

P2 inaweza ikawa na side effects zake lakini sio kubwa kama ambavyo tunataka kuzungumza hapa.

Katika maisha yako, hasa unapotumia madawa, hakikisha unapata milo 3, na uwe unakula chakula kizuri kabisa, basi.
Sasa hizo side effects ni zipi, hizo ndio ttunataka kuzijua hapa.
 
Sio unasikia ndio hali halisi unatakiwa umeze mara 2 tu kwa mwaka, ndio mana ziko kwenye kundi la " EMERGENCY" Huku kwetu zinamezwa usiku na mchana

ukiwaambia utaambulia maneno ya kebehi, kuna mdada anafanya nae kazi nilimwambiaga hata mimi imewahi kunidhuru madhara makubwa yaliyodumu miaka mi5 ,7 years ago akanambia panadol ina madhara, kila kitu kina madhara kwahiyo nipambane na hali yangu..
walinichangia kunikosoa jamani kama wanawake wa5 nikakoma na sitakaa nimshauri mtu kuhusu hilo tena.
Wachungaji huwapata wanawake kwa shuhuda mwenzenu amekuja na shuhuda hapa mzingatie
 
Mimi nina ushuhuda wa mtu/watu anayetumia saana p2, amefunga ndoa mwezi wa 11, sasa hivi ana mimba yake ina wiki kadhaa sasa.

P2 inaweza ikawa na side effects zake lakini sio kubwa kama ambavyo tunataka kuzungumza hapa.

Katika maisha yako, hasa unapotumia madawa, hakikisha unapata milo 3, na uwe unakula chakula kizuri kabisa, basi.
Huyu naye amekuja na ushuhuda pia duh
 
Zilikusababishia nini? mkuu

Naomba nisaidie hata, niandikie inbox nipate kuyajua.
Nitakuandikia usijali ila madhara yapo ni makubwa tu
Tatizo binadamu ya siku hizi ni wabishi sana...
Mnooooooooooo!
ukiandika utasaidia wengi sana wachuo wanazipiga sana hizi dude
unadhani wanakunywa kuwa hawajui?? wanajua tu
nmekua mzito sana kwasababu nimewahi elekeza watu wakanishushua kuwa imenikataa tu mimi na kila kitu kina side effect hata panadol inayo kwahiyo niwaache.
Ndio mana siwezi kusema mengi
 
Nitakuandikia usijali ila madhara yapo ni makubwa tu

Mnooooooooooo!

unadhani wanakunywa kuwa hawajui?? wanajua tu
nmekua mzito sana kwasababu nimewahi elekeza watu wakanishushua kuwa imenikataa tu mimi na kila kitu kina side effect hata panadol inayo kwahiyo niwaache.
Ndio mana siwezi kusema mengi
Duh sasa itakuwaje [emoji848][emoji848]
 
Maana yake siku hizi watu wamepunguza matumizi ya ndomu na wameacha KUMWAGIA NJE
 
Miongoni mwa madhara ya P2 ni kuvuruga mzunguko wa hedhi. Pili, Kuchelewa kupata mimba, tatu ukitumia sana inapunguza hamu ya tendo. Nne, inaharibu mazingira ya uke (unakuwa mlegevu/ tepetepe. Tano, maumivu makali ya tumbo
 
Sasa hizo side effects ni zipi, hizo ndio ttunataka kuzijua hapa.
Inavuruga mzunguko wa hedhi.

Hayo mengine unayosikia ni porojo tu, mimi naongea kutokana na watu ambao wakiwa wanaitumia nikakaa nao kwa miaka mingi.

Madhara ya Utasa, sijui nini na niniii naona ni kama hadithi tu. Pengine hayo madhara yapo kwa wanaotumia p2 mara 2 au 3 kwa mwezi ila kama ni kila mwezi mtu unatumia mara moja sijawahi sikia hayo madhara.

Huyo niliyemtolea ushuhuda hapo juu ambae ameshika mimba december, alikuwa anatumia p2 si chini ya miaka 4 mfululizo.

Ikiwa tukimaliza tu, namsimamia anameza p2 mbele yangu, nilikuwa sitak ujinga mimi kabisa kuitana baba wakati bado sijawa tayari.
 
Inavuruga mzunguko wa hedhi.

Hayo mengine unayosikia ni porojo tu, mimi naongea kutokana na watu ambao wakiwa wanaitumia nikakaa nao kwa miaka mingi.

Madhara ya Utasa, sijui nini na niniii naona ni kama hadithi tu. Pengine hayo madhara yapo kwa wanaotumia p2 mara 2 au 3 kwa mwezi ila kama ni kila mwezi mtu unatumia mara moja sijawahi sikia hayo madhara.

Huyo niliyemtolea ushuhuda hapo juu ambae ameshika mimba december, alikuwa anatumia p2 si chini ya miaka 4 mfululizo.

Ikiwa tukimaliza tu, namsimamia anameza p2 mbele yangu, nilikuwa sitak ujinga mimi kabisa kuitana baba wakati bado sijawa tayari.
Sasa kila tendo anameza P2
 
Back
Top Bottom