DuhhhKwani inatoa huduma au inafanya biashara. Kazi kubwa ya BRT ni kutoa huduma kwa wananchi wake siyo kufanya biashara.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kwa hesabu za TRA na annual returns ni kweli KIUHALISIA sio kweli kabisaKauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Wamebaini au ndivyo ilivyo toka wameanzishwa hao BRT..Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Hata mi nalipinga,waongoKauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Wale ni selcom.Maxmalipo si ndio hawa wakina Charamila waliopiga bilioni 2 uko Iringa?
na hao maxmalipo ndo walewale tu team moja.
Usiwatetee wezi hivyo vipuri sio kila siku kwamba vinanunuliwa...wamiliki wa daladala tu wanapata faida daily ambapo route moja ina ushindani mwingi, foleni, kupigwa mabao na traffic n k sembuse wao ambao gari zao hazikai kwenye foleni, hakuna ushindani na daladala wala hakuna kupigwa bao na traffic wanaendesha spidi wanazotaka wao....hasara inatoka wapi hapo?Umenikumbusha kuna mzee mmoja alinunua daladala, akawa anakaa kibarazani kwake akihesabu route na jioni akiletewa hesabu pungufu anawaka haswa kwamba mbona gari ikienda imejaa ikiruid imejaa...
Usiangalie kujaza watu, kuna maswala ya vipuri, kulipa wafanyakazi mishahara na mambo mengi...
Labda bei ziko chini tofauti na gharama halisi za uendeshaji, lakini huenda ikawa ni mbinu ya kuudanganya umma ili wapigaji wapige zaidi kama ilivyokuwa kwa Tanesco na mashirika mengine ya umma.Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Mfumo wa kutumia kadi ulikuwepo ila wanajua wenyewe nini kilitokea hadi kadi zikaacha kutumika. Sijui kama wanaweza kutumia kadiHasara ni kwa kutokuwa Wabunifu...
Ongezeni ,Tengeni Ma-bus kadhaa kwa huduma ya VVIP zenye Kadi Maalumu ...Mbezi Kivukoni 3000/=
Ubungo - Posta 2000/=
Level Seat
Tutayaacha Magari Nyumbani
Upo sahihi kabisa Mkuu zipo dalili nyingi tu, hebi tazama delays zilivyo, kuna uwezekano mradi unahujumiwa na wasafirishaji wengine pembeniNina wasiwasi hata treni ya SGR itakuwa hivyo hivyo!
Ndiyo maana mfumo wa kadi uliishia njiani ghafla tukaona mashine za ku punch kadi hazifanyi kazi.We tiketi hawachani wanazungusha zinarudi tena kupitisha watu wengine. Lile shirika ni taka taka. Tutegemee ili pia siku sgr ikianza kufanya kazi.
Kwani serikali au shirika lisije na mfumo wa kadi ili kuingia mwendokasi lazima uwe na card, na card inakuwa buku.. then unakua una nunua tiketi kwa mfumo wa kadi na scanning zifanye kazi maana tangu max malipo aondokw ni mfu.
Waongeze ubunifu wangekuja na vip mwendokasi kama mdau mmoja alivyosema, seat safi, kiyoyozi.
Pia watazame upya swala lao wa nauli kuna mahali sio wa kuenda na 650, wapunguze na mida ya watu kungoja bus
sasa Magufuli yeye ndio aliiba? Rates za MaxMalipo zilikuwa juu sana kiasi kwamba ilikuwa kama wao ndio wenye mabasiWakulaumiwa ni Magufuli na roho mbaya yake.. kulikuwa na mfumo mzuri sana wa kulipia kuhusu tiketi yeye na roho korosho yake akawatoa wale Maximalipo na ukawa mwanzo wa wizi wa tiketi. Pesa zinaibwa sana sijui kwanini waliua ule mfumo wa tiketi. Majaliwa kapiga mdomo kawa kimya. Bashungwa ndio mtu wa ajabu sana katembelea pale kakuta changamoto zake akampa muda meneja afanye utaratibu zimalizike. Kuna wizi sana.
Mkuu,ni hoja ya kutaka kuleta ubinafsishaji hapoKauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Tatizo la waswahili ni itikadi za kuendekeza njaa tu!Hao maxmalipo nao wezi wameipiga Sana serikali.
Watu kibao walilipa faini na tozo za magari kupitia maxmalipo na hazikusoma kwenye system wakalazimika kulipa mara mbili.
Mswahili hawezi fanya kitu kikafanikiwa.
Menejement zote tungewapa wageni