#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Nipo uingeleza na nchi inaendelea kufunguliwa.Sababu ya kufungua nchi ni kupungua kwa vifo na kupungua watu kuzidiwa na kupelekwa hospitali.Lockdown na chanjo ndo ilipelela kufikia hapa sio kingine....
London Wapi upo busega tu hapo
 
Chanjo iletwe kwa anayetaka hatutaki kuchanjwa kwa kulazimishana hapa. Sisi wengine tumaini na tegemeo letu ni Bwana Yesu wa Nazareti aliye hai, ndiye chanjo yetu na mlinzi wetu wa uhakika hatuhitaji kuhusishwa na kuwa sehemu ya huu upuuzi.

Team ya madaktari inashauri wachanjwe waongoza watalii kwa nini wasianze wenyewe hao madaktari kuchwanjwa? Maana wao pia wako ftont line. Hatutakubali kuwa sehemu ya kumdharaulisha Mungu tuliye mtegemea siku zote katika janga hili. Mungu wa mbinguni hadhihakiwi na wala watutokubali kuwa sehemu ya kumdhihaki Mungu wetu.
 
Mkuu nnachanjo nying kidg na kwa kuwa si mzawa wa 80s m niwa 70s Kama Ni mdogo hutajua... Bt chanjo zote kulikuwa na utafiti wa mda mrefu more than 5_15yrs...
Kaka unapata wapi habari?? Ugonjwa gani hakuna takwimu? Isipokuwa Covid katika Tanzania! Namba ziko tele kuhusu magonjwa kila aina nchini, Ukimwi, Malaria, nini - ila to Covid imefichwa.

Sishangai kama hao walioimba "Hakuna Corona Tanzania" wanashikwa na hofu wakiona imani yao inabomolewa...
 
Kipi official hapo ambacho tulikua hatukijui?
 
Kamati inasema nini?
Inataka kuibua hofu na taharuki kwa wananchi,wananchi wote wanajua kama corona ipo....ya nini kutishana bwana,wakati mwingine anco alikuwa sahihi...wazungu hawatutakii mema kabisa na haya mavibaraka yao.
Wajinga nchi hii mpo wengi sana
 
Upuuzi kabisa. Wakati nchi zingine zinatoana hofu sisi ndio wanataka waanze kuwaweka hofu wananchi.
Huyu rais bhana
yani kwa hili kachemka hata shoe shine hawezi kukubali kuchanjwa watanzania tumeamka sana magufuli aliisha tuweke mguu sawa hatupigwi kizembe
 
Chanjo iletwe kwa anayetaka hatutaki kuchwa kwa kulazimishana hapa. Sisi wengine tumaini na tegemeo letu ni Bwana Yesu wa Nazareti aliye hai, ndiye chanjo yetu na mlinzi wetu wa uhakika hatuhitaji kuhusishwa na kuwa sehemu ya huu upuuzi....
Hvi toka lini kutumia chanjo ni kumdhalilisha Mungu? Hvi bila ARVs Tanzania wangekufa watu wangapi? Je kutumia ARVs ni kupinga uweza wa Mungu au ni precaution tu?

Cha kushangaza ukiugua malaria huendagi kuombewa ila unaendaga pharmacy ila linapokuja suala la Corona ndio pharmaceuticals zinageuka dharau kwa Mungu?
weird
 
Na mie nashangaa..... Takwimu za VVU zinatolewa kila mwaka hapa na saratani ya kizazi pia n.k nashangaa anavyodai eti Covid pekee ndio ina data!!

Kuna misinformation kubwa sana hapa nchini ndio maana watu wana develop negative attitude kwenye madawa
 
yani kwa hili kachemka hata shoe shine hawezi kukubali kuchanjwa watanzania tumeamka sana magufuli aliisha tuweke mguu sawa hatupigwi kizembe
Uzuri ni hiari kama tu kipimo cha Covid 19 msiotaka muache wanaotaka wataenda Kwani umeambiwa ni lazima?
 
Old model
 
Mkuu unajua series ya takwimu za cvd?? Je uliwahi kuona ukimwi au malaria inakuja na takwim daily... Au ukwimu? Takwim zpi ila zinatolewa kwa anaezitaka and for events purposed... Sasa unajua kwa nn tz tuna ishi bila woga? Japocvd ipo??? Umewahi kujiuliza?? Unajua nn kinasababisha??? Think out without boarders....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…