#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Ndio maana sijaweka hilo neno sukuma gang, najua hiyo ni codeword tu lakini hilo ni genge nufaika na ukoloni uliopita- siyo wasukuma pekee na pengine wasukuma ni wachache sana humo.
Kuhusu corona inanisikitisha na jinsi watu wengi wasivyokuwa na informations sahihi kutoka nchi ambazo corona imezipiga sana kujua sababu yake na jinsi wanavyofight against.- kwenye kipengele hiki wameingia wapotoshaji ambao sijui wana makusudi gani ya kufanya hivyo.
 
Yaani kwa nchi yetu imebidi iundwe tume ya wataalamu kutushauri jambo hili?
 
Kila mtu abaki na msimamo wake.ndio maana serikali haijalazimisha.
 
Kila mtu ana tafsiri yake kuhusu chanjo japo nina imani watanzania wengi tumepokea chanjo nyingi tuu tangu tukiwa wadogo ila kwa hii ya Corona watu wana wasiwasi.
 
... Rais na Mwenyekti wa Kamati kwenye makabidhiano ya ripoti (just two people) wamevaa barakoa halafu kapuku mwenzangu unajitoa ufahamu eti hakuna korona! Watch out!
Mkuu uraisi ni title tu,kuvaa kwake barakoa hakumfanyi kuwa sahihi kwa kila kitu
 
Mimi naamini Mungu alishatushindia Corona
Sitachanjwa na wala sitaki barakoa wavae wapagani wasio amini Mungu

Kuvaa barakoa kwanza kunaharibu sura MTU USO unaonekana kama wa kinyago cha kimakonde
Endelea kuwa na imani mkuu. Imani huponya.
 
Iletwe kwa pesa zetu za kodi au kwa pesa zako binafsi? Muda mwingine muache kutumia makalio kufikiri, hata kama sio lazima, kodi yangu si ya kuchezea hivyo, ebo!
 
Hao wanaojiita maproffesor jana hata sura zao zinaonyesha walivyo guilt. Corona watu wanafunga virago nyie ndiyo mnataka kufanya agenda? Hawa wanatakiwa waitwe proffesseur ya kifaransa maana ili ya kiingereza hawana sifa.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mnapata taabu Sana kupotosha what is going on in this country at the moment. .the country is more divided now than ever ..mnapotosha kwa kudai kuwa kuwa Kuna genge or gang au to be specific the so called Sukuma gang...
Huu ni mwendelezo tu, wakati wa JPM watu waliokuwa wakitoa ushauri tofauti waliitwa wachochezi, hawana uzalendo, wanatumiwa na mabeberu mpaka Kabudi akasema wakae kimya. Sasa kibao kimegeuka, watu wanalalamika.

Kuhusu Usukuma, sio wamebatizwa, ni JPM alienda Mwanza akasema "hawa ni wapiga kura wangu, msiwabomolee" kwani Kimara hakukuwa na wapiga kura wake? Ni Gwajima ndio alitengeneza clip ya kikabila akihimiza wasukuma waunde vikundi vya kumtetea JPM. Gwajima hajawahi kuomba radhi wala JPM hakuwahi kumkemea. Imagine Butiku atengeneze clip ya kuhamasisha watu wa Mara kutengeneza vikundi vya kumtetea Nyerere, je mwalimu angefanya nini?

Hizi negativity ni matokeo ya miaka 5 ya utawala wa kishamba, kimabavu, kionevu na uliojaa upendeleo.
 
Kwakuwa waTz wameishi na kike kinachoitwa Corona kwa miaka miwili sasa na hakuna imoact ueyote tuliyoiona, mi nadhani huo wote ni utopolo tu, hakai mtu lockdown, na hizo pesa za kodi wanazotaka kuchezea kwenye chanjo watazitapika!!
 
Acha u.fala nani kakulazimisha!?
Huna abc yoyote kuhusu elimu ya afya unaropokwa tu.
"+&@$ wahed
Wewe unaonekana ni mtoto wa juzi,na bado haujaijua vizuri dunia.Hao wenye ABC yoyote kuhusu elimu ya afya, wengi tunao huku wamepata matatizo ya kiafya yasiyotatulika kwa hiyo elimu zao.
 
Baada ya mda mrefu naona wataalam Tanzania wanaanza kurudia elimu zao! Sijui mwendazake angetuongoza kwa miaka mingine kumi ingekuwaje...
Tanzania kuna wataalamu? We unaliwa wewe sio bure[emoji28][emoji28].
 
WASTAGE OF MONEY NGOJA IKUPIGE NDIO UTAJUA KAMA NI MATUMIZI MABAYA watu hatuna shukrani at all....
Corona ni no vijimafua tu, na haiwezi kunifanya chochote. Kama ingekuwa na nguvu kiasi hicho, tangu iingie 2020 nisingekuwepo. Ni upumbavu na upetezaji wa hela tu.
 
Huyo ndio kiongozi wa Kweli, maana ya kiongozi ni kujitoa kwa ajili ya watu wako,hata kama itakugalimu maisha yako,sio huyu takataka kazi ni kujipamba na kupaka lipstick tu, unafikiri anatafuta umiss Tanzania
Naona kenyataa kamwambia haya..pengine ..hii covid ni chaos tu ..tumeishi nayo na haya juzi WHO kwenye taarifa yao walisema wanafikiri kuachana na kudeal na sheria kali za ugonjwa huu..hii inamaana wameshajua kuwa huo ugonjwa ni hofu tu ..ambayo watanzania hatykuwa nao..Mimi nitawaelewa Sana Kama hawataanza kuleta sheria lazimishi za kuwataka watu wazingatie hayo masharti ya kuvaa barakoa..sijui n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…