#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Na bado tutashuhudia mengi zaidi. Nilisema baada ya mheshimiwa kututoka na sasa yanajitokeza. Mapendekezo ya kitoto kabisa. Eti tutangaze hadharani kuwa tuna korona mara eti tiba zetu za, asili sijui zifanyiwe upumbavu gan. Yaan hata hatujiamin sisi wenyewe. Sijui wasomi wetu wana madudu gani kichwani. Ona mifumo ya kiserikali inavyochezewa sasa. Hakuna nguvu ya kauli yoyote kutoka juu.
Inasikitisha sana
 
Wote tumeshuhudia ile kamati iliyoundwa na rais Samia kuhusu Corona ilivyopopolewa na kupingwa kila kona na watanzania.
Dunia ilitakiwa ije kujifunza Tanzania tunavyopambana na corona lakini sasa hivi kuna nguvu kubwa inalazimisha sisi watanzania tukajifunze namna ya kupambana na corona huko India na Marekani walikokufa wengi.

Kwa report hiyo maprofesa wataendelea kutukanwa na akina Kibajaji na Msukuma wataendelea kusikilizwa na wananchi.
Haiingii akilini maprofesa wanatoa report utafikiri ugonjwa wa Corona umeibuka mwezi wa 3 mwaka huu, maprofesa eti wanapendekeza waziri wa afya aanze kukaa kwenye makamera na kutangaza leo tumepata wagonjwa wa corona idadi kadhaa...!
Kuna kila dalili hao maprofesa wamehongwa ili waje na mapendekezo hayo ya kuwatia hofu watanzania wakati hofu tulishaikataa tangu mwaka 2019.

Kwa muktadha huo nakuomba rais wangu mpendwa Samia Suluhu ipuuze kamati hiyo na mapendekezo yao yote kwani hayana tija yoyote kwa nchi yetu.
Takataka
 
Unaongelea risasi kirahisi Kama kwamba wewe sijui mzalendo wa kupitiliza mno [emoji1787][emoji1787][emoji23]

Wapi watu huchapwa risasi kihivyo?!!China ?!! Khaa hivi mnasomaga mavitu gani mnayopenda kufurahisha nafsi zenu ?!!!

Ukomunisti UMEISHA BWASHEE...
Ukomunisti HAUTAKIWI DUNIANI Kwani ni mfumo wa NDOTONI usio na uhalisia na maendeleo ya binadamu.....
Fanyeni kazi
 
Hakuna kulazimishwa ila wewe mwenyewe pale utakapo anza kujiona mjinga ikiwa umri umesonga na magonjwa nyemelezi yana gonga hodi. watu huwa wanajiamini wakijua watakuwa na nguvu zote daima. Dunia duara. unakuta mtu anakataa kupimwa ila yakimfika mwenyewe anakubali
Mkuu kumbe naweumekuwa mjinga,kwani magonjwa nyemelezi yatamwandamu mtu kwa sababu hajachanjwa chanjo ya corona? ina maana ambao wanakuwa nayo ni sababu ya kukosa chanjo?
 
Mkuu kumbe naweumekuwa mjinga,kwani magonjwa nyemelezi yatamwandamu mtu kwa sababu hajachanjwa chanjo ya corona? ina maana ambao wanakuwa nayo ni sababu ya kukosa chanjo?
Inasikitisha sana hawa wapotoshaji
 
Mama magenge ya Rushwa na ufisadi yatamsumbua sana
Kwani yalikwisha lini ?!!!!
Rushwa na ufisadi hauwezi kuisha mpaka kiama....kazi ya serikali ni KUPAMBANA NA MIFUMO HIYO na kubwa huwa WANAIPUNGUZA KASI YAKE.....

Yaani Kuna serikali ipi duniani inaweza kupambana na AKILI ZA WATU NA KUZISHINDA ZOTE?!!!

DUNIANI NI MAPAMBANO NA KUNA WATU HUISHI KWA KUIPAMBANIA RUSHWA NA UFISADI kwa maslahi yao KUNTU.....

Mh.Samia Suluhu Hassan ameanza vyema na kuiongoza nchi yetu adhimu!!!

#StaunchSupporterOfCCM
 
Hivi kweli unatetea HISIA ZA KIZALENDO zinazofurahisha nafsi tu ?!!!

Hivi unajua kuwa SERIKALI INAENDELEA KUIDHINISHA CHANJO ya magonjwa dhidi ya WATOTO WETU KILA UCHAO?!!!

Hivi kweli tuzikatae CHANJO dhidi ya KIFADURO ,PEPOPUNDA ,HOMA YA INI ,KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,SURUA kwa kuwa tu ZINATENGENEZWA ULAYA NA NJE YA NCHI ?!!!

Hivi kweli SERIKALI YETU SIKIVU itashindwa kuzilinda afya za watanzania kwa sababu wanataka WAFE BAADA YA KUTUMIA CHANJO ?!!!

Hivi hili wimbi la uzalendo koko wenye UPOFU MWINGI linatokea wapi ?!!!

Hivi kuwa mzalendo ni kutoshirikiana na waitwao "mabeberu" ili uonekane mshindi ?!!!!!

WENGI WANAOPINGA HIZI CHANJO WAMEJAA TU NA MIHEMKO NA HISIA KOKO ZISIZO TAFITI BALI MAPAMBANO YA "KIHASAMA" YA KUJITUKUZA NA PIA KUPAMBANIA RANGI ZA NGOZI ZETU......

Mh.Rais Samia Suluhu Hassan ameshauriwa na wataalamu wetu na si "wapiga nzumari" vijiweni....

#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
Kwa hiyo waziri wa afya aanze kutangaza wagonjwa wa corona waliopatikana kila siku?
 
Hivi kweli unatetea HISIA ZA KIZALENDO zinazofurahisha nafsi tu ?!!!

Hivi unajua kuwa SERIKALI INAENDELEA KUIDHINISHA CHANJO ya magonjwa dhidi ya WATOTO WETU KILA UCHAO?!!!

Hivi kweli tuzikatae CHANJO dhidi ya KIFADURO ,PEPOPUNDA ,HOMA YA INI ,KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,SURUA kwa kuwa tu ZINATENGENEZWA ULAYA NA NJE YA NCHI ?!!!

Hivi kweli SERIKALI YETU SIKIVU itashindwa kuzilinda afya za watanzania kwa sababu wanataka WAFE BAADA YA KUTUMIA CHANJO ?!!!

Hivi hili wimbi la uzalendo koko wenye UPOFU MWINGI linatokea wapi ?!!!

Hivi kuwa mzalendo ni kutoshirikiana na waitwao "mabeberu" ili uonekane mshindi ?!!!!!

WENGI WANAOPINGA HIZI CHANJO WAMEJAA TU NA MIHEMKO NA HISIA KOKO ZISIZO TAFITI BALI MAPAMBANO YA "KIHASAMA" YA KUJITUKUZA NA PIA KUPAMBANIA RANGI ZA NGOZI ZETU......

Mh.Rais Samia Suluhu Hassan ameshauriwa na wataalamu wetu na si "wapiga nzumari" vijiweni....

#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
Allah yebarikfik
Mwenyezi Mungu akupe maona ya kutuongoza
Ubarikiwe na Shukrani za dhati....
 
Kwa hiyo waziri wa afya aanze kutangaza wagonjwa wa corona waliopatikana kila siku?
Si lazima atangaze.....na nadhani hatofanya hivyo....kubwa ni Wizara kurekodi wagonjwa hao na kutoa huduma stahiki kwa waathirika....
 
Mkuu hivi unajua umuhimu wa kuwa umepata chanjo kabla ya kupata covid19? AU kuna umuhimu wa kupata covid19 ndipo upate chanjo?
 
Usilolijua ni usiku wa giza ,mambo mengne kama huna viwango vya kiroho huwezi jua
Tulia kijana mimi nina mpaka diploma kabisa ya masuala ya injili na Biblia so huna unalojua la kiimani kunizidi.

The thing is kama ambavyo ww ukienda Ulaya lazima uchanjwe homa ya manjano..... Ama ukizaliwa uchanjwe surua ila eti ikija chanjo ya corona ndio vita ya kiroho?? Nyie ndio mnatudhalilisha wakristo tunaonekana vilaza.

Chanjo ni hiyari tu hutaki acha, kwani umelazimishwa uchanjwe? Kama ni vita ya kiroho then ikija uipotezee
 
4429cce0-aa63-475b-bd7d-36ca77f24b9e.jpg
 
Sasa tumeamua tutafute data ili tujue nguvu ya adui wetu na kisha tujue tunamtokomeza kiasi gani,- lina ubaya hilo?
Dunia inairate kila nchi kulingana na situation yake, Tanzania imekuwa siku zote ni unknown , hata tu jinsi ya kujieleza ni aibu tupu.
Hizo data ziko wapi?
 
Tulia kijana mimi nina mpaka diploma kabisa ya masuala ya injili na Biblia so huna unalojua la kiimani kunizidi...
Kwahiyo hoja yako ni kwa sababu anachanjwa hizo chanjo zengine hivyo na hii achanjwe tu?
 
Back
Top Bottom