ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Inasikitisha sanaNa bado tutashuhudia mengi zaidi. Nilisema baada ya mheshimiwa kututoka na sasa yanajitokeza. Mapendekezo ya kitoto kabisa. Eti tutangaze hadharani kuwa tuna korona mara eti tiba zetu za, asili sijui zifanyiwe upumbavu gan. Yaan hata hatujiamin sisi wenyewe. Sijui wasomi wetu wana madudu gani kichwani. Ona mifumo ya kiserikali inavyochezewa sasa. Hakuna nguvu ya kauli yoyote kutoka juu.
TakatakaWote tumeshuhudia ile kamati iliyoundwa na rais Samia kuhusu Corona ilivyopopolewa na kupingwa kila kona na watanzania.
Dunia ilitakiwa ije kujifunza Tanzania tunavyopambana na corona lakini sasa hivi kuna nguvu kubwa inalazimisha sisi watanzania tukajifunze namna ya kupambana na corona huko India na Marekani walikokufa wengi.
Kwa report hiyo maprofesa wataendelea kutukanwa na akina Kibajaji na Msukuma wataendelea kusikilizwa na wananchi.
Haiingii akilini maprofesa wanatoa report utafikiri ugonjwa wa Corona umeibuka mwezi wa 3 mwaka huu, maprofesa eti wanapendekeza waziri wa afya aanze kukaa kwenye makamera na kutangaza leo tumepata wagonjwa wa corona idadi kadhaa...!
Kuna kila dalili hao maprofesa wamehongwa ili waje na mapendekezo hayo ya kuwatia hofu watanzania wakati hofu tulishaikataa tangu mwaka 2019.
Kwa muktadha huo nakuomba rais wangu mpendwa Samia Suluhu ipuuze kamati hiyo na mapendekezo yao yote kwani hayana tija yoyote kwa nchi yetu.
Fanyeni kaziUnaongelea risasi kirahisi Kama kwamba wewe sijui mzalendo wa kupitiliza mno [emoji1787][emoji1787][emoji23]
Wapi watu huchapwa risasi kihivyo?!!China ?!! Khaa hivi mnasomaga mavitu gani mnayopenda kufurahisha nafsi zenu ?!!!
Ukomunisti UMEISHA BWASHEE...
Ukomunisti HAUTAKIWI DUNIANI Kwani ni mfumo wa NDOTONI usio na uhalisia na maendeleo ya binadamu.....
Mama magenge ya Rushwa na ufisadi yatamsumbua sana
Mkuu kumbe naweumekuwa mjinga,kwani magonjwa nyemelezi yatamwandamu mtu kwa sababu hajachanjwa chanjo ya corona? ina maana ambao wanakuwa nayo ni sababu ya kukosa chanjo?Hakuna kulazimishwa ila wewe mwenyewe pale utakapo anza kujiona mjinga ikiwa umri umesonga na magonjwa nyemelezi yana gonga hodi. watu huwa wanajiamini wakijua watakuwa na nguvu zote daima. Dunia duara. unakuta mtu anakataa kupimwa ila yakimfika mwenyewe anakubali
Inasikitisha sana hawa wapotoshajiMkuu kumbe naweumekuwa mjinga,kwani magonjwa nyemelezi yatamwandamu mtu kwa sababu hajachanjwa chanjo ya corona? ina maana ambao wanakuwa nayo ni sababu ya kukosa chanjo?
Kwani yalikwisha lini ?!!!!Mama magenge ya Rushwa na ufisadi yatamsumbua sana
Kwa hiyo waziri wa afya aanze kutangaza wagonjwa wa corona waliopatikana kila siku?Hivi kweli unatetea HISIA ZA KIZALENDO zinazofurahisha nafsi tu ?!!!
Hivi unajua kuwa SERIKALI INAENDELEA KUIDHINISHA CHANJO ya magonjwa dhidi ya WATOTO WETU KILA UCHAO?!!!
Hivi kweli tuzikatae CHANJO dhidi ya KIFADURO ,PEPOPUNDA ,HOMA YA INI ,KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,SURUA kwa kuwa tu ZINATENGENEZWA ULAYA NA NJE YA NCHI ?!!!
Hivi kweli SERIKALI YETU SIKIVU itashindwa kuzilinda afya za watanzania kwa sababu wanataka WAFE BAADA YA KUTUMIA CHANJO ?!!!
Hivi hili wimbi la uzalendo koko wenye UPOFU MWINGI linatokea wapi ?!!!
Hivi kuwa mzalendo ni kutoshirikiana na waitwao "mabeberu" ili uonekane mshindi ?!!!!!
WENGI WANAOPINGA HIZI CHANJO WAMEJAA TU NA MIHEMKO NA HISIA KOKO ZISIZO TAFITI BALI MAPAMBANO YA "KIHASAMA" YA KUJITUKUZA NA PIA KUPAMBANIA RANGI ZA NGOZI ZETU......
Mh.Rais Samia Suluhu Hassan ameshauriwa na wataalamu wetu na si "wapiga nzumari" vijiweni....
#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
Hao siyo wataalamu wa afya ni wapuuzi wa afyaYaani Rais akusikilize wewe na sio wataalamu wa afya [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Unataka Chanjo???Wazee wako bora wangepeana blow job tu, wangeepusha taifa na hili taira
Allah yebarikfikHivi kweli unatetea HISIA ZA KIZALENDO zinazofurahisha nafsi tu ?!!!
Hivi unajua kuwa SERIKALI INAENDELEA KUIDHINISHA CHANJO ya magonjwa dhidi ya WATOTO WETU KILA UCHAO?!!!
Hivi kweli tuzikatae CHANJO dhidi ya KIFADURO ,PEPOPUNDA ,HOMA YA INI ,KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,SURUA kwa kuwa tu ZINATENGENEZWA ULAYA NA NJE YA NCHI ?!!!
Hivi kweli SERIKALI YETU SIKIVU itashindwa kuzilinda afya za watanzania kwa sababu wanataka WAFE BAADA YA KUTUMIA CHANJO ?!!!
Hivi hili wimbi la uzalendo koko wenye UPOFU MWINGI linatokea wapi ?!!!
Hivi kuwa mzalendo ni kutoshirikiana na waitwao "mabeberu" ili uonekane mshindi ?!!!!!
WENGI WANAOPINGA HIZI CHANJO WAMEJAA TU NA MIHEMKO NA HISIA KOKO ZISIZO TAFITI BALI MAPAMBANO YA "KIHASAMA" YA KUJITUKUZA NA PIA KUPAMBANIA RANGI ZA NGOZI ZETU......
Mh.Rais Samia Suluhu Hassan ameshauriwa na wataalamu wetu na si "wapiga nzumari" vijiweni....
#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
Si lazima atangaze.....na nadhani hatofanya hivyo....kubwa ni Wizara kurekodi wagonjwa hao na kutoa huduma stahiki kwa waathirika....Kwa hiyo waziri wa afya aanze kutangaza wagonjwa wa corona waliopatikana kila siku?
Allahuma aamin ,sote ndugu yangu Aaamin yaa rabb!!!Allah yebarikfik
Mwenyezi Mungu akupe maona ya kutuongoza
Ubarikiwe na Shukrani za dhati....
Sasa wewe "mtaalamu" endelea kupiga tarumbeta hapa uone kama utasikilizwa; labda Rais angekuwa Gwajima. Tumeshawaambia, ujinga tuliuacha Chattle.Hao siyo wataalamu wa afya ni wapuuzi wa afya
Ww bora baba yako angepiga puli tu hujielewiPesa aliyotumia baba yako kukusomesha bora angenunua ng'ombe
Tulia kijana mimi nina mpaka diploma kabisa ya masuala ya injili na Biblia so huna unalojua la kiimani kunizidi.Usilolijua ni usiku wa giza ,mambo mengne kama huna viwango vya kiroho huwezi jua
Hizo data ziko wapi?Sasa tumeamua tutafute data ili tujue nguvu ya adui wetu na kisha tujue tunamtokomeza kiasi gani,- lina ubaya hilo?
Dunia inairate kila nchi kulingana na situation yake, Tanzania imekuwa siku zote ni unknown , hata tu jinsi ya kujieleza ni aibu tupu.
Kwahiyo hoja yako ni kwa sababu anachanjwa hizo chanjo zengine hivyo na hii achanjwe tu?Tulia kijana mimi nina mpaka diploma kabisa ya masuala ya injili na Biblia so huna unalojua la kiimani kunizidi...