#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Tume ya hovyooooo kuwahi kutokea tz,watakuwa walitumwa hawaaaaaa.sisi Hatuna corona tuna Mungu.
 
Sawa mtaalamu maswali yangu ni kiduwanzi.

Sasa kama ni hivyo ilikuwa na haja gani kuunda tume na kutuambia inafanya utafiti kwa kipindi chote kile? waliyokuja kutoa mapendekezo ni mambo ambayo yanajulikana na tulishawahi kuyafanya huko mwanzoni tulikuwa tunapima na kutoa takwimu na kuchukua tahadhari mbalimbali labda kipya ni hizo chanjo ambazo zilikuwa bado kipindi kile, sasa hayo yanahitaji Maprofesa kukaa muda wote ule ndio kuja kutueleza hayo?

Kuna watu humu walikuwa wanasema madaktari huko wanajua ukweli kuhusu corona ila wamezuiliwa kusema ukweli na tuhuma za serikali kuficha ukweli wa kuhusu hili janga ni mambo ambayo yamezungumziwa sana, sasa nilidhani hiyo kamati ingeanzia huko ila yenyewe imekusanya Maprofesa na kuja na mapendekezo ya mambo ambayo wote tunayajua.
 
BRO BLACK SKIN NI NOMA SANA SISI! KWENYE SWALA LA NAMA HYO KUKATAA CHANJO ISSUE NDUGU
 
Watu mshirikishe ubongo kidogo !
VP wakati akiwa Waziri wa Mapene alitandikwa hii kitu.....Meko kama angechomoa .....angeweza kuwa na mtazamo mwingine .......SHS anashauriwa kwa karibu na VP ambaye ni muhanga ...kusoma hamjui picha nazo hamzioni ......Hivi ulishajiuliza kwa nini kuna mabadiriko ya ghafla juu ya mtazamo wa Corona baada ya mwendazake!
Hivi kati ya wewe na watu wa serikali nani anajua kipi kilipita na mwendazake kati ya Korona na Umeme katika mfumo wa moyo ?
Lakini pia kama vijana hamtaki chanjo acha ije kwa ajili ya wazee over 60 yrs na others in risk! Kwani hawana cha kupoteza!
 
Ndio sio lazima, sasa kwanini umekuwa ukitaja hizo chanjo zengine pamoja na tiba zengine kisa wanapinga hizi chanjo za corona?
Kwa sababu mna potosha kwamba chanjo ya Covid pekee ndio ina side effects wakati kuna tiba za radiology ambazo zina madhara kwa watumiaji 38% ila sijawahi sikia mkizikosoa au kudai wazungu wanatuua.

Embu nikuulize tu kivp tiba 90% zimetoka kwa beberu ila hamzipingi but ikija chanjo tu ndio wanataka kutuua?? Double standards ni kwa faida ya nani
 
Hata humu hujawahi kuona nyuzi watu wakipinga ARV na kukataa kuwa hakuna virusi vya ukimwi?
 
Hapa ni kulazimisha au kutafuta njia ya kuwatisha kinyume na hivyo tusiongopeana watakaochanjwa watahesabika.
Mbona Uganda chanjo ni optional kama zilivyo tu za Yellow fever..... Hutaki unaacha. Sasa wapi wamesema ni lazima mchanjwe mamilion?

Hata humu hujawahi kuona nyuzi watu wakipinga ARV na kukataa kuwa hakuna virusi vya ukimwi?
Wanaopinga ARV hawazidi 100 ila chanjo ya Covid kelele ni zaidi ya mamilion ya wa-TZ ambao walipotoshwa na JPM.

Sasa najiuliza wakati mnapotosha hao Millions of illiterate Tanzanians kwanni hamkuwaambia tiba ya kansa inaua hta kuliko kansa yenyewe? Kwanni hamkuwaambia wenye wagonjwa wa Ukimwi kwamba ARV zitawaletea madhara mengi kwenye organs zao baada ya matumizi ya dawa kwa miaka mingi?? Hizo taarifa mmeficha ila kwa Covid ndio mnageuka mko concerned na afya zao.
 
Kwa nini tulazimishane ? Kila mtu na maamuzi yake vinginevyo itakuwa ni udikteta
 
Usiseme wanapotosha, nimekupa huo mfano wa ARV ili kuonesha kuwa wapo wenye mtazamo tofauti na kuhusu huo uchache wao ni kutokana hakuna uhuru kwa mtu kuweza kueleza ubaya wa ARV na kupinga uwepo wa virusi vya ukimwi hadharani kisha akaachwa tu.
Mimi binafsi nilikuwa natamani kweli Magufuli afike huko kwenye ARV.

Sasa Tanzania suala la hiari ya kuchanjwa chanjo za corona zoezi litadoda kwa sababu watu hawaoni sababu za kuchanjwa na hawana iman na hizo chanjo.
 
Kamati ya corona majina yalifanywa siri kana kwamba ni kamati ya roho mbaya! Hata walipoibuka kwenye kamera walikuwa wamevaa kininja ili kuficha nyuso kwa kisingizio cha corona!! Kwa maigizo Tanzania hatujambo!!
 
Kamati ya corona majina yalifanywa siri kana kwamba ni kamati ya roho mbaya! Hata walipoibuka kwenye kamera walikuwa wamevaa kininja ili kuficha nyuso kwa kisingizio cha corona!! Kwa maigizo Tanzania hatujambo!!
Wahuni wale hakuna kitu pale
 
Hizo chanjo wakajichanje wao na mama zao. Hatutaki upuuzi wa kudungana masumu ya ajabu ajabu.

Ati ooh tuko kwenye hatari ya maambukizii! Hatari gani?

Watu tunadunda tu kila siku, hakuna cha corona wala baba yake corona.

Msitutibue vichwa kabisa na hayo machanjo yenu ya kihuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…