#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

TRUTH vs REALITY.

"When a moon shines a fake light,
Everyone loves it.

When a Sun flows its TRUE light,
No one wants to see it.

You laugh a joke with lie,
But you hate to face the Truth.

You love to see a magic,
But you don't believe in one.

When my character becomes nude, everyone shy's away.
But if I put a smile for people,
Those puppet just follow my way,
The TRUTH can be ugly by why truth should be fair?

If Iam no angel why the world should expect me to be One
If God created a fault through me, why the human can't accept it.

If I live to be Trustful why should I make sacrifice.
If Iam not ready to see as who am I, why should they deserve to Judge me ?
If you tell me this is life, then why should I be alive?

Nipo tayari kupokea CHANJO dhidi ya Covid-19; mamalaka za Afya za WHO ,CDC, zina wataalam wabobevu na hata tunapozidiwa, tunakwend akutibiwa kwao nk. Tunapata chanjo nyingi kutoka WHO, kama zingekuwa mbaya, tungekufa tungali watoto, angalia bega lako la KULIA, kama lina kovu ni chanjo ya TB siku unazaliwa.

KINGA ni bora kuliko TIBA.
 
Hapa atuna Rais,tuna rais wa tume,eti nchi itangaze kuwa tuna corona, wakati nchi nyingi zimeanza kuondokana na nyimbo hizo, Watu wanaanza kuchapa kazi, Sisi ndio tunaanza kuongopeshana.
Kwa hiyo hiyo timu ya wataalamu ni waongo? Wengi wetu tulijua korona ipo na ilikuwa changa la macho tulipokuwa tunaambiwa haipo. Ila ukweli ni kwamba mitaani Mungu ameendelea kutulinda waTz. Sasa tuendelee kucukua tahadhari.
 
Inatia moyo kuona serekali kuanza kuwa sikivu na makini. Nadhani wengi tulio nje ya TZ tulikuwa tunaona wanasiasa wakicheza mchezo wa hatari na maisha ya wenzao. Mapendekezo hayo sio mageni kwa wale ambao wanafuatilia nchi zengine zimepitia hatua gani katika janga hili.
Upo nje na unadhani unaijua hali iliyopo huku, maajabu haya.

Mtaani hakuna mtu anayeiogopa hiyo corona.

Pia mtaani hakuna mtu anayeihitaji hiyo chanjo watu wapo busy na mambo yao.

Kelele za hapa na twitter zimekufanya uone serikali wanacheza mchezo wa hatari?

Huko ambako hawachezi mchezo hatari hali ipoje?
 
Na duniani kote wanaojimwambafy kuwa hakuna korona walishaenda zao!!!!

Sio kweli hakuna aliyesema hakuna corona. Na ndio maana ilipingwa mbiu nchi nzima kuhimizana kufanya maombi na kufunga.

Huyu na Rais na tume yake ajitokeze mmoja asimame aseme ana huo uhai alio nao leo unaompa hiki kiburi cha uzima kwa sababu alitumia barakoa au chanjo.
 
Sio kweli hakuna aliyesema hakuna corona. Na ndio maana ilipingwa mbiu nchi nzima kuhimizana kufanya maombi na kufunga.

Huyu na Rais na tume yake ajitokeze mmoja asimame aseme ana huo uhai alio nao leo unaompa hiki kiburi cha uzima kwa sababu alitumia barakoa au chanjo.
Haikusemwa ovetly kuwa haipo ila impliedly. Na hii ilifanya watu wengi wasitilie maanani kuwa ipo. Serikali ilikuwa inaona kigugumizi gani kusema korona ipo na wtu wanakufa (japo si wengi lakini ni uhai wa watu)? Hata akifa mmoja ni issue!!!! Why the secrecy?
 
Ebu tupe jina la ilo taifa ambalo wamechanja 60% lakini maambukizi yanapanda ,please kaka tupe jina ikiwezekana weka link kuhusiana na hiyo namba.
Taifa linakwenda kuanguka.. tulikuwa tumejizoea mfumo huu.. sasa malengo yao ya kuitia dunia hofu yamekamilika... Siku tu idadi ikianza kutangazwa nchi itaingia kwenye tahaharuki ya kudondoka mtu.
Mlikuwa mmezoweo mfumo huo wewe na nani?

Ambao hatukuwa tumeuzoea nasi tumo kwenye kauli yako?

Mkuu humu na wangoni tumo!
 
Kwa hiyo hiyo timu ya wataalamu ni waongo? Wengi wetu tulijua korona ipo na ilikuwa changa la macho tulipokuwa tunaambiwa haipo. Ila ukweli ni kwamba mitaani Mungu ameendelea kutulinda waTz. Sasa tuendelee kucukua tahadhari.
Sasa umeandika nini hiki; eti corona hipo ila mitaani Mungu ameendelea kutulinda,sasa kama tumeishi hivi kwa miaka miwili,na atukuchua tahadhali yoyote na tumeishi vizuri kuliko walikuwa wakifuata mashariti, Kwani nini kimebadilika?

Nyinyi niwafuata upepo wa Wazungu tu kila anachosema mzungu mnaona kama kasema Mungu,eti sasahivi inakuja wheve 3 ,kila siku mnabadilishiwa majina ili kuwaingizia woga, ngoja serikali itangaze kuwa Tanzania kuna corona uone kitakacho tokea.
 
Sasa umeandika nini hiki; eti corona hipo ila mitaani Mungu ameendelea kutulinda,sasa kama tumeishi hivi kwa miaka miwili,na atukuchua tahadhali yoyote na tumeishi vizuri kuliko walikuwa wakifuata mashariti, Kwani nini kimebadilika? Nyinyi niwafuata upepo wa Wazungu tu kila anachosema mzungu mnaona kama kasema Mungu,eti sasahivi inakuja wheve 3 ,kila siku mnabadilishiwa majina ili kuwaingizia woga, ngoja serikali itangaze kuwa Tanzania kuna corona uone kitakacho tokea.
Yaani bila mzungu hata sasa hivi mimi na wewe tusingekuwa tunachat realtime!!!! Mwizi mkamateni lakini sifa yake mpeni!!!!
 
Mama Samia anyone ushauri huu. Hatutaki kurejea uhuru stadium kwa sababu zinazoepukika.

Mama atupe hilo, alete mrejesho wa TPA na BOT na akihakikisha anajikita kwenye kuhakikisha uwepo wa haki zote, atakuwa kajiandalia mitano yake mingine.
 
Haikusemwa ovetly kuwa haipo ila impliedly. Na hii ilifanya watu wengi wasitilie maanani kuwa ipo. Serikali ilikuwa inaona kigugumizi gani kusema korona ipo na wtu wanakufa (japo si wengi lakini ni uhai wa watu)? Hata akifa mmoja ni issue!!!! Why the secrecy?
Kwani nilini watu waliacha kufa,kwani kufa kumeanza baada ya corona?watu walikuwa wanakufa kila siku hata Kabla ya corona,sema corona ilivyokuja kila aliyekufa walisema kafa kwa corona, corona ilivyokuja magonjwa yote yakaacha kuua ikabaki corona tu.
 
Upo nje na unadhani unaijua hali iliyopo huku, maajabu haya .
Mtaani hakuna mtu anayeiogopa hiyo corona...
Sidhani hata na wewe unajua hali ilivyo, maana hakuna takwimu za corona utajua vipi ? Sifahamu ni kwanini kumekuwa na siasa nyingi kwenye suala la corona. Hebu tupeni chanzo cha kuwa kwenye maradhi haya pekee ndio ati watu wanataka kuvumbua chanjo zao wenyewe na kuanza kuwa scientists?

Hivi maradhi yote na miaka yote chanjo na madawa yanakuwa imported kutoka nje. Leo ati ndio lazima tuvumbue dawa zetu kwa miti shamba. Mtakufa ovyo ovyo kwa siasa za kipuuzi kama hizi. By the way sio mie niliesema serekali ianze kutumia sayansi na kuanza kutafakatari uwezekeno wa chanjo.
 
Mama ndo umeona uwaponze waTz kwa kuwaletea chanjo ili uwafurahishe mabeberu???..
Ndio raisi wetu huyo haijalishi unapenda au hupendi,Hao unaowaita mabeberu wana mchango wao mkubwa kwenye bajeti ya nchi hii,hilo hulioni sasa chanjo ikija ni uhuru wako kuchanjwa au kutochanjwa ili umfurahishe yule mnae mwita mwamba eti wa Afrika nenda pale Chato kahiji.Lakini kwa unafiki wa mlio wengi wa aina yako utakuwa mstari wa mbele kuchanjwa kimya kimya.
 
Acha ungese wewe... Aliekwambia hayati alikufa na C19 nani.

Kwahiyo corona iliwapata wao tu na ikatuacha sisi tunao zurura kila mahali tena bila tahadhari yoyote ile...

#DALALIKAZINI
Subiri zamu yako
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
 
Huo ndio ukweli Tanzania sio kisiwa kilichopo nje ya ulimwengu.
Mkuu,upo sahihi Jiwe alishawapokonya wengi akili zao mataga+sukuma gang wamebaki kuteseka na huyu mama hakuna namna wa relax hawana la kufanya ni Mwenyekiti wa chama na Raisi pia kwisha kazi.
 
Tume ilipewa hadidu rejeo. What do you expect? Hujafa hùjaumbika na sikitika sana naya shuhudia haya mambo na yakinigusa kwa namna moja au nyingine.
Fuatilia VISIWA VYA SHERISHERI, kwa sasa upate kinachoendelea baada ya chanjo. Any way kwa vile wamependekeza chanjo ni hiyari basi kazi iendelee
 
Hivi ni kweli kuna mtu hajui kama corona ilishafika Tanzania mpaka tume iishauri Tanzania 9
Itangaze uwepo wa Corona?Kwa hiyo Corona ipo Tanzania ila Serikali ya shujaa ilikuwa inaficha kwa maslahi ya shujaa?
Afazali nitachomwa chanjo asante mama Samia Kwa kuniletea chanjo ya covid make mwenda zake aliiweka kiburi korona ikamuondoa fasta tu
Marekani na India watu wamechanjwa chanjo lakini corona inaua kwa maelfu ! Wewe upo hai hadi leo, haukuwekwa lockdown, chanjo huna wala barakoa huvai! haushangai tu! Mshukuru Mungu aliyekulinda. Tanzania tunalindwa na Mungu. Fanya tahadhari yoyote utakayo lakini msingi wa usalama wako ni MUngu.
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo...
Watalii walikuja kwa kutofahamu nini maana ya 'changamoto ya kupumua'. Baada ya kufahamu kama ni covid-19 wote wamekimbia. Sikilizeni wataalamu wenu, nchi nyingi zilizokuwa hazifanya lock-down ikiwemo marekani wakati wa Donal ilifanya ubishi na kutaka kukimbia lock-down. Matokeo yake ndio wamekufa kama kuku.

Corona haitaki ubishi na hakuna anaependa kukaa nyumbani. Nawaasa sana waswahili wenzangu acheni siasa na sikilizeni wataalamu badala ya wana siasa. Hili sio suala la siasa ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Kuomba dua kupo lakini tusilazimishe tiba yake lazima iwe inatokea kwenye miti shamba. Ombi letu la duwa zetu pia linaweza kuwa chanjo!
 
Kudungwa kuko PALEPALE
Mkuu itapoingia nchini chanjo itakuwa ni hiyari ila maambukizi yakiongezeka itakuwa lazima na ni mtaa kwa mtaa na mipaka itadhibitiwa sasa sijui wapinga chanjo watajificha wapi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom