The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
"Bunge linaazimia kwamba Serikali ihakikishe inakarabati uwanja wa Benjamin Mkapa ifikapo April 2025, Serikali iandae mikakati ya kuanzisha chombo maaulumu cha kusimamia uwanja wa Benjamin Mkapa na viwanja vingine vinavyojengwa na Serikali ili kuhakikisha kuwa vinatunzwa na vinakuwa katika ubora wa Kimataifa"
"Serikali iweke utaratibu wa sehemu ya makusanyo ya uwanja kubaki kwa matumizi ya uwanja ili kurahisisha matengenezo ya dharula zinazoweza kujitokeza, na serikali iandae mkakati wa kuboresha viwanja vingine vya michezo ili kupunguza mzigo wa matumizi makubwa kwa uwanja wa Benjamin Mkapa"
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Tamaduni na Michezo, Husna Sekiboko akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kwa mwaka 2024/2025 leo Bungeni.
"Serikali iweke utaratibu wa sehemu ya makusanyo ya uwanja kubaki kwa matumizi ya uwanja ili kurahisisha matengenezo ya dharula zinazoweza kujitokeza, na serikali iandae mkakati wa kuboresha viwanja vingine vya michezo ili kupunguza mzigo wa matumizi makubwa kwa uwanja wa Benjamin Mkapa"
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Tamaduni na Michezo, Husna Sekiboko akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kwa mwaka 2024/2025 leo Bungeni.