Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, yakagua utekelezaji wa miradi ya uboreshaji Usafi wa Mazingira Dar

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, yakagua utekelezaji wa miradi ya uboreshaji Usafi wa Mazingira Dar

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
IMG-20240914-WA0034.jpg
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswagwa (Mb) (wa tatu kushoto) akizungumza na wajumbe wa kamati wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya uboreshaji Usafi wa Mazingira Dar es Salaam yenye lengo la kuimarisha Usafi wa Mazingira na kuondoa uwezekano wa kutokea kwa magonjwa ya mlipuko kwa wananchi. Wa pili kulia ni Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Juma Simba Gadafi, wa pili kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri na wa kwanza kushoto ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire.
IMG-20240914-WA0030.jpg
IMG-20240914-WA0036.jpg
IMG-20240914-WA0038.jpg
IMG-20240914-WA0028.jpg
IMG-20240914-WA0032.jpg
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswagwa (Mb) (wa tatu kushoto) akizungumza na wajumbe wa kamati wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya uboreshaji Usafi wa Mazingira Dar es Salaam yenye lengo la kuimarisha Usafi wa Mazingira na kuondoa uwezekano wa kutokea kwa magonjwa ya mlipuko kwa wananchi. Wa pili kulia ni Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Juma Simba Gadafi, wa pili kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri na wa kwanza kushoto ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire.
Wakimaliza wanapata misosi na bahasha kede.

Kisha wanaimba mapambio ya kusifu na kuabudu binadamu
 
Back
Top Bottom