Kamati ya maadili ya TFF Leo imetoa hukumu kwa Msemaji wa Simba Sports Club, Haji Manara kufuatia kutokuitikia wito wa kamati hiyo.
Kamati hiyo imetoa hukumu ya makosa matatu dhidi ya Manara na hatimaye kumtoza faini ya Tsh. Milioni 9 pamoja na kutokumruhusu kujihusisha kwa shughuli za mpira wa miguu.
Manara amehukumiwa kutojihusisha na Soka kwa miezi 12 na ametakiwa kulipa faini jumla ya Shilingi milioni 9.
Maamuzi ya sakata lao yameishaje kwani?
Simba ameendelea kupewa point 3 zake au amepolwa tena?
Sarakasi za TFF ni full vichekesho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Hiyo adhabu ni sawa.
Manara amekutwa na makosa 3 . Jerry muro alikuwa na 1. 3×3,000000= 9M.
Haji kaleta issue za kizamani za ukabila ili hali nafasi za TFF ni za kuchaguliwa kama Wabunge.
TFF ni Jipu lililoiva kufungia watu kujihusisha na mpira ndo adhabu pekee qaliyonayo. Unampa fine ya milion 9 atapata wapi wakati mmemfungia ajira yake kweli hakuna taasisi kilaza kama TFF