Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifuatacho... ID yako yahusika [emoji13]Hili li malinzi ili lina laana sijui ya nani mhaya gani punguani ivi
Nikicheck avatar yako na comment yako nabaki [emoji23] [emoji23]aisee, kama ametenda kosa SHERIA NI MSUMENO
Hivi hii tifuatifua inaongozwa na MAZOMBI au watu? Faini milioni 9 wamezikokotoaje? TFF is led by a bunch of twits!Kamati ya maadili ya TFF Leo imetoa hukumu kwa Msemaji wa Simba Sports Club, Haji Manara kufuatia kutokuitikia wito wa kamati hiyo.
Kamati hiyo imetoa hukumu ya makosa matatu dhidi ya Manara na hatimaye kumtoza faini ya Tsh. Milioni 9 pamoja na kutokumruhusu kujihusisha kwa shughuli za mpira wa miguu.
View attachment 500178
Manara amehukumiwa kutojihusisha na Soka kwa miezi 12 na ametakiwa kulipa faini jumla ya Shilingi milioni 9.
Hiyo adhabu ni sawa.
Manara amekutwa na makosa 3 . Jerry muro alikuwa na 1. 3×3,000000= 9M.
Haji kaleta issue za kizamani za ukabila ili hali nafasi za TFF ni za kuchaguliwa kama Wabunge.
Lakini pengine kuna kaukweliKuhusu swala la Manara huu ni upuuzi maana FFF wakiambiwa ukweli wanatoa adhabu za kipuuzi kabisa zisizo endana na kosa kama kumkomoa mtu, kwa utaratibu wa kichovu kama huu hatuwezi kufika mbali kisoka na kwa mfumo ilionao FFF kwa sasa sins uhakika kama watawatunza wale vijana wetu ili waendelee kucheza soka zuri kama wanavyofanya sasa.
utakua hufatilii mipira ya nje, kocha anapigwa fine tu kwa kusema tu kuwa hana iman na refa itakua hayo maneno ya manara? tuache ushabiki bhanaKuhusu swala la Manara huu ni upuuzi maana FFF wakiambiwa ukweli wanatoa adhabu za kipuuzi kabisa zisizo endana na kosa kama kumkomoa mtu, kwa utaratibu wa kichovu kama huu hatuwezi kufika mbali kisoka na kwa mfumo ilionao FFF kwa sasa sins uhakika kama watawatunza wale vijana wetu ili waendelee kucheza soka zuri kama wanavyofanya sasa.
simba mmezoea kulalama,shindenm na c kuililia point za mezaniLakini pengine kuna kaukweli
1. Kiongozi mkuu wa TFF ni kutoka Kagera inakotoka timu iliyomchezesha mchezaji kinyume cha taratibu
2. Mtendaji mkuu wa TFF ambaye kwa kawaida hupendekezwa na Rais wa TFF naye anatoka Kagera
3. Rais wa TFF ndiye pia Mwenyekiti wa TFF mkoa wa Kagera inakotoka Kagera Sugar
4. Watendaji wakuu wa TFF ambao ni RAIS na KATIBU mkuu wote ni ma ex katibu wakuu wa Yanga yenye maslahi ya pekee katika maamuzi yaliyofanywa
5. Kwa kuzingatia hoja za Manara na 1-4 hapo juu, haitoshi tu kufanya maamuzi ya pupa na kujipumbaza ati manara ametamka maneno ya kibaguzi. Bahati mbaya siku hizi BMT haina meno lakini vinginevyo rufaa ya kagera sugar ilitakiwa ipelekwe huko na si kwa wateule wa Rais wa TFF mwenye maslahi ya moja kwa moja na suala hili.
Usitukane ukunga na uzazi ungalipo.....huyu albino mil 9 atatoa wapi