Kamati ya Maadili ya CCM: Kangaroo court

kiranga una mambo upo kama mshipa/ngiri maji/busha. mbele haupo nyuma haupo. unafuata mdundo wa ngoma. shame on you lumumba nzi wa kijani buku 7
Hivi huyu Kawe ni jike au dume? kama ni dume basi ni shoga maana mwanaume huwezi kuwa hivi. kama n mwanamke, sawa!
 
Mkuu kwani ishu ya Mh. Kubenea na Mh. Komu wa Chadema haikuwa kuingilia faragha? Natanguliza shukrani.
 
Acha wafu wazike wafu wao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani siku hizi CCM role model wake ni CHADEMA?
Hapana. Ila nimekuelewa. Kwamba, kwakuwa CCM ni chama chenye dhamana ya kuwaongoza Watanzania jana, leo na kesho HAKIPASWI kufanya mambo ya hovyo hovyo kama vyama visivyo na matarajio ya kuwaongoza Watanzania. Nakushukuru sana kwa kunielewesha hilo!!!
 
Mimi nadhani ndio muda muafaka wa Chadema kwenda na Membe kama walivyokua wanataka. Mchukueni tu huku hana nafasi,sa mnamuonea huruma tena,Chadema kuwaelewa kazi sana.

Kana kane ni kamo
Act kimejipambanua ni chama cha kupokea makandokando. Kwa msamiati wa walioonewa
 
Nawambieni hv!MEMBE AKITANGAZA HADHARANI KUWA HATOCHUKUA FOMU YA URAISI 2020 NA ANAMUUNGA MKONO RAISI!MASHTAKA YOTE YATAYEYUKA KAMA BARAFU JUANI HATA KAMATI YA MAADILI HATOITWA TENA!!!!
 
Nawambieni hv!MEMBE AKITANGAZA HADHARANI KUWA HATOCHUKUA FOMU YA URAISI 2020 NA ANAMUUNGA MKONO RAISI!MASHTAKA YOTE YATAYEYUKA KAMA BARAFU JUANI HATA KAMATI YA MAADILI HATOITWA TENA!!!!
anamuogopa membe kama ukimwi
 
Ya ngoswe muachie ngosweeeee !
 
Ni uonevu wa hali ya juu
Hawa wazee should stand up for their dignity
Kwa mentality ya sasa Bongo hawawezi ku stand up.

Nimemuheshimu sana Membe, pamoja na mapungufu yake yote, kwa kuwa ngangali katika hili. Hakutaka ujinga wa kuomba radhi.

Hata wao wenyewe wanamuangalia kwa jicho la "huyu vipi"?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Horace Kolimba na Mzee Jumbe waliwahi kuhojiwa


MMoja alitoka na Gonjwa la kudumu mwingine akatolewa kwny sanduku
 
Namjua mtu mmoja aliyeitwa kwenye kamati hii na baada ya kuhojiwa alikufa.
Alikuwa amesema ccm Haina dira Wala mwelekeo,bàada ya kuhojiwa walimpeleka kaburini.
Hofu yangu no kwa Member,wasije wakamkolimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nia ya uzi mrefu hivi kwa mambo ya ndani ya chama ambacho hukipendi na sio chako Ni nini hasa? Jitahidi kuandika sera na mambo ya chama chako. Mana hao CCM wanao utaratibu wao kama nyie mlivyo na utaratibu wa kutokuwa na ukomo wa uongozi chamani kwenu kwa kisingizio cha „ Mwamba tuvushe“.

Mnaonekana mko frustrated sana na mambo yasiyowahusu. Sasa mko tayari hata kutetea ujinga Mradi ndo upinzani. Pole sana mkuu. Kama ya Mbowe mnasema yasiingiliwe na you are right then kuwa na msimamo. Usiwe kama Chura Huelewi umekaa. Umechuchuma au umepiga Msamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…