Huwa sipendi kujibu hoja za mawazo mfu lakini goja nichangie
Japo wewe sio mwanachama wa CCM ( predictions) bado una maoni yako kwa hiko chama kama ulichokifanya
Sitaki kuingia ndani sana lakini goja nikudokeze tu, kamuulize Bernard Membe namna chombo nyeti kinavyofanya kazi, kama kutakuwa na kosa kisheria kama ulivyobwabwaja humu then atakachokujibu utupe mrejesho, kwa uelewa wangu linapofikia suala la Kiusalama, kuna utaratibu wake wa kuchukua hatua! CCM ni chama kilichopo madarakani, CCM ndio usalama na kwa maana hiyo akiyetukanwa kwenye zile clips ni kiongozi na mkuu wa nchi,hii haina haja kuifafanua sana, nje ya Rais masuala yote ya Kiusalama huweza kushughulikiwa kwa muktadha na mtazamo mpana!
Kinachoangaliwa hapa ni authenticity ya mashtaka hayo, kitendo klichofanywa na watuhumiwa ni cha kiusalama ndio maana wameitwa na chombo hicho, kosa lile ni la uhaini tatizo letu ni siasa tu but hata kama umedai hawakuwa na lengo la ile habari haikuwa for the public consumption, lakini si ukweli unaweza kuthibitisha kuwa walifanya hicho kitendo? Je public consumption tunaiangalia katika dhana ipi? Kama sita wale ama the big three wangeweza ku expose au leak ile taarifa unajua ni kwa watu wangapi ingekuwa consumed?
Chama chochote cha siasa kina utaratibu wake, japo inapofikia kwa umma hata asiye mwanachama huwa mchambuzi mzuri na zaidi hutoa maelekezo kana kwamba anayajua ya ndani mwe; huwezi sema they did so not with the intention of spreading the message to the public, haijalishi na kwa namna gani umefanya kosa kama hilo ukawa defensive kwa nadharia hiyo, ndio maana kuna Cyber crimes but all in all serikali inamkono mrefu na kwa sasa CCM ndio serikali
Tuache chama kiamue kwa wanachama wake
Tusiwe na viherehere vya kuchambua ya ngoswe tumpe mwenyewe!
Sent using
Jamii Forums mobile app