Kamati ya Maadili ya CCM: Kangaroo court

Yaani ukiichakuwa hii jforum utapa asilimia 90% za wanaccm wanaohoji ya chadema kana kwamba niwahusika jee wao yanawahusu. Wacha tujadili kakeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba kosa ni la uhaini, alitaka kuipindua nchi????
 
Treason si wapelekwe mahakamani, tangu treason inapelekwa CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu wito wa kuwadhalilidha wazee haukuwa na maana yoyote, haya mambo yalishapoa haikuwa busara kuanza kuyachokonoa hasa ukizingatia wazee wameonewa sana kudukuliwa mazungumzo yao ya private
 
Mijadala ya kisomi haiangalii uko mrengo gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama hatukubaliani na andiko lake refu lakini ukweli ni kwamba amejitahidi kujenga hoja,,kwahiyo tujibu hoja,hakuna sababu ya kumshambulia au kumtukana,kufanya hivyo ni kupungukiwa busara.Hoja inajibiwa kwa hoja,sio matusi.
 
Wito wao deadline ni lini.Toka lini majadiliano ya faragha yakaitikiwa wito
 
Ila hii hadithi inawahusu nyinyi kwa nyinyi. Inayotuhusu sisi ni tume huru na katiba mpya!
 
Duh! Hata wewe mpenda ukweli huu ndio msimamo wako?
Kweli mtu ka Kinana aliyepigana 2015 kwa kiasi kile kuhakikisha watu wanaingia madarakani na kwa uchovu akaomba apumzike na Mara mbili nzima mnamkatalia Leo mnamdukua kinyume cha sheria na kuokota neno mojatuu "mshamba" basi mnalisimamia kumdhalilisha?
Jee kweli ni maamuzi ya Chama chake Kinana (CCM) au chama cha Mwenyekiti ( Chama cha Magufuli)?
Lucas philipo jaribu kuangalia ukweli mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…