Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kwani kuna mtu asiyelipa Kodi kweli nchi hii maana Hadi mtoto aliyetumboni analipa sembuse mtu mzima?
 
Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako,ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo,vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
Kwa hiyo alichofanya Magu sawa ???watu wengine wasted sperms
 
Tumuunge mkono anayetetea tuache kuibiwa madini yetu
kuanzia leo Lisu anatakiwa awe anaitwa Chifu Mangungo Tundu Lisu na Amsterdam awe anaitwa Karl Peters Amsterdam tukiwajadili humu jamii forums
 
Issue sio madhara ya covid issue ni condition za msaada kuwa unatakiwa utoe takwimu na pia kufuata masharti ya WHO. Kwahiyo anashangaa basis gani inatumika kuwapa msaada ilihali hawatoi ushirikiano?
Ama kuna provision bila limitation na condition?

Lakini ni wao watendaji wa EU ndio walitakiwa wahakikishe kama wamepitia vipengele vyote vya mashararti ya EU, sio Tanzania. Wao ndio wanatakiwa wa justify kwa nini walitoa hiyo misadaa, na hapo ndio watajuwa kama pesa nyingi imekwenda ku protect EU interests in TZ kuliko watanzania wazawa.
 
Magufuli alitangazia dunia mwezi Juni kuwa Corona imeshindwa Tz kwa nguvu za Mungu!

Sasa misaada ya mabeberu ya kupambana na Corona ya nini tena? tena misaada unapokea mwezi September!

Mzee Meko ni mwizi na mpigaji.
Atazitapika tu pesa za mabeberu.
 
Shida ya afrika hatuna mfumo bora wa kuwapata viongozi bora yeyeto tu hata kichaaa au aliyekosa malezi Bora utotoni anaokotwa tu na kupewa hivyo upelekea mamilioni ya waafrika kuumia sababu ya mtu mmoja tu.
kweli mkuu, mtu aliyewahi kumuita Baba wa Taifa Mnafiki aliyeishi kinafiki eti naye alitaka apewe urais?
 
Wanschotaka kujua ni hayo matumizi yake.... Mdije mkawa mmezipeleka kwenye SGR.
 
Political persecution...Jiwe hatoki na wapuuzi wenzake
 
Taifa teule? Unajua maana ya Taifa teule?
Tatizo mnachanganya mambo ya kiimani na mambo ya utendaji.
Labda huenda kuna pesa tunategemea kujenga barabara 80 km kwa msaada wa mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…