Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Mimi naona watu wamejielekeza au kumuangalia Magufuli tu, najiuliza hivi kabla hata ya Magufuli hatukuwa tukitakiwa kuwekewa hivyo vikwazo? Au wakati huo demokrasia ilikuwepo, kulikuwa na ushindani sawa wa vyama siasa na haki za binaadamu zilikuwa zinalindwa?
 
Hahahaha
Mwendo wa kupitisha vibakuli Tu mpaka tufike uchumi wa kati
 
Nadhani 2015 wakati wa JK ulikuwa hujazaliwa
 
Habari za mida wanajamvi!

Naam, kumepambazuka huko Duniani, wazungu wamesikia kilio cha wanao penda demokrasia Tanzania, kwa umoja wao wameazimia kuwa watainyima Tanzania misaada inayo fikia Tshs trilioni 1.64 kwasababu haifuati ustaarabu wa kidunia wa multipartism yaani demokrasia ya vyama vingi.

Kilicho nifurahisha zaidi ni kwamba , wanasema kama Tanzania ikiendelea kukaidi basi itawekewa vikwazo vya kiuchumi ISIFANYE BIASHARA NA NCHI YEYOTE YA ULAYA. HAPO SASA!!

Nini maana yake? Ni kwamba hatuta uza chai kwao, wala kahawa haitauzwa kwao, maua na mbogamboga kamwe hatutauza kwao. Hatutauza dhahabu, hatutauza korosho wala minofu ya samaki. Yaani hatutauza chochote kwao.

Baada ya muda mfupi tu fedha yetu itashuka thamani usipime. Yaani dollar moja yaweza kuwa Tshs 5000/= kisa? Mtu mmoja hataki uchaguzi uwe huru , wa haki, credible na transparent!

Wazungu nimewavulia kofia! Nimetabasamu kwa mara ya kwanza tangu October 28. Ahsanteni wazungu .bye
 
Wizi wa mwaka huu ni kufuru
 
Wagombanapo tembo ziumiazo ni nyasi

Hawa wafadhili wangewawekea vikwazo akina Mahera na wengineo lakini sio kuadhibu taifa lote ikiwamo na waliodhulumiwa haki zao
 
Hata sijui tumefikaje hapa. Labda kupenda sifa maana electoral College 270 zilitutosha kuendelea na mitano tena ila haya mambo ya kutaka kupata college zote ndipo shida ilipoanzia. Anyway, fedha zao poa na watunyime tu ila wasiiwekee vikwazo vya kuuza bidhaa kwao, itakuwa msala sana.
 
Haya mambo sio ya kushabikia kabisa kwa kuwa yanaweza kuwa na madhara hata kama uwe mpinzani, uwe mtawala, uwe mtawalia
Watakaomia zaidi ni mashabiki wa CCM acha akili ziwakae sawa mana wengi ni tegemezi nchi hii pia sio walipa kodi
 
Tanzania is no more safe land, ngoja nitafute passport yangu ilipo
 
Wizi wa mwaka huu ni kufuru
Kwahiyo utawala huu huu wa CCM kabla ya Magufuli haukuwa ukistahili kufanya Tanzania kuwekewa vikwazo? Kwa maana kama tungewekewa vikwazo katika kipindi cha Kikwete au Mkapa ungeona si sawa?
 

Wafanye watakalo lakini mambo ya familia yetu sisi watanzania wamwachia mamaTanzania
Hiyo misaada yenye masharti ndio inayoimaliza Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli
 
Ni ukurutu wa mawazo kushabikia vikwazo ndani ya ardhi unayotegemea kurithisha wanao. JPM hataishi milele.. Wajukuu zako hawataongozwa na yeye ila madhara ya vikwazo yataishi kwa muda mrefu mbele.
Vikwazo ni muhimu ili kukomesha ujinga.
Yani huyu kwa uroho wa madaraka inafikia hatua anatamani siku moja aamke akute tanzania imezama haipo tena.

Alivyo mjinga na mpumbavu anashindwa kutafakari je tanzania ikizama yeye atakuwa wapi?

Tamaa ya madaraka imemtoa ufahamu kabisa mbwa huyu.
Jaribu kufikiri, je kulikuwa na ulazima gani kupakia kura kwenye mabegi??
 
Hatua hii itafurahisha wengi hasa kwakuwa CCM imeligawa mno taifa hatuna umoja Tena madhila waliyofanyiwa wapinzani ndio yanaliumiza taifa kusema ukweli wale wote ambao kura zao ziliibiwa na wote wanaopenda demokrasia na walioumizwa na Mambo aliyofanyiwa lisu ben sanane azory mdude mbowe nk watafurahia hii hatua wataona huu ndio ushindi wao maana ule wa sanduku la kura umeporwa kimsingi ni jukumu la usalama wa taifa kuliponya taifa kwa kuchukua hatua za haraka anaeumia ni mama Tanzania Wala sio viongozi wa CCM. Hii ni habari njema sana no matter what kwa waliowengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…