Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

lini China iliweza kutoa misaada ya kibajeti popote hapa duniani ???

China na uturuki ni wafanyabiashara hawacheki na kima wao wanasaka faida za kibiashara tu hawatoi na hawezi kutoa misaada ya kibajeti kwa tanzania.
Subiri ngoma hii bado
Tutaheshimiana tuu kidogokidogo
 
Tutafika tuu

Wewe mtu anakuambia ati sababu una njaa na huwezi kuhudumia familia yako kiuchumi umpe mkeo azae nae mtoto mmoja ili akusaidie utakubali??

Heri lawama kuliko fedheha
Hama nchi shida zote za nini na liinchi la wendawazimu hilo
 
The bottom line baada ya miaka 60 ya uhuru ni nilazima tujifunze kujitegemea
Sasa mlikuwa mnazinyonya hela za corona za nini na wamesema mikopo mliyoenda kuomba imekataliwa, mtapata baada ya kukosa, mbona CCM mnakuwa wajinga hivi
 
Kwa hiyo mkuu vita uliyonayo katika ulimwengu huu ni "mabegi ya kura"?? Naona umeyakazania
Unabisha kwamba sio Binadamu wa Kwanza? niambie mwafrika gani aliwahi kumkoloni Mzungu...mpaka sasa mtu mweusi ameweza nini ikiwa hata uchaguzi mnashindwa kujiamini mnapigia Kura kwenye magodown mnazileta na mabegi kwenye vituo
 
Yaani Mzee unawapangia
 
Hizo ni jama za wajerumani kupinga kujengwa kwa bwawa la Kufua umeme la Nyerere Kwenye mto Rufiji. Sikilza hapa.
 
Hakuna kitu hapo. Hofu ni ishara ya kiongozi dhaifu sisi sio dhaifu. Kwani wao WALITUUMBA?... Wasiposupport wao Hatutakufa... tukula na kunywa mazao tunayo.
 
Walichoweza wazungu ni kutufanya waafrika tuwaone wao ndio wana akili kuliko chochote, na kila wanachokifanya kipo sahihi. Hayamkini ndio maana tunaona anayejua kuongea kingereza ana akili na kasoma sana.
Hahaaa boss hebu jiongeze basi kwenye loans and grants wahisani ila kwenye another issue like free and fair mabeberu inakujaje

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Any way nimawazo yako. Ila tambua Afrika, waanasiasa wabinafsi huziingiza ichi zao kwenye matatizo kwa sababu ya interests zao na si interest za inchi. Kwa akili yako mwenye hati miliki ya kuongoza hii inchi ni ccm
 
Walichoweza wazungu ni kutufanya waafrika tuwaone wao ndio wana akili kuliko chochote, na kila wanachokifanya kipo sahihi. Hayamkini ndio maana tunaona anayejua kuongea kingereza ana akili na kasoma sana.
Shida iko hapa, vijana wengi hamjui athari za kunyimwa misaada na vikwazo vya biashara kwa uchumi wa Nchi masikini kama yetu.

Mwishoni mwa miaka ya 70 Mwalimu Nyerere alitaifisha mashamba ya chai ya wazungu akakumbana na vikwazo hakuna kuuza chai Uingereza na Marekani ! Mwaka mmoja tu Nchi ilikonda. No mapato no foreign exchange! Na alipo kataa kufuata masharti ya World bank na IMF tulijuta.

Wafuasi wa ujinga na CCM yenu subirini.
 
Endelea kujifariji kamanda baada ya ni yeye kushindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…