Hali hii imekuwa mazoea, Kamati ya saa 72 inachukua hatua ila wakati huo hatua hizo zinakuwa hazina faida kwani mchezo unakuwa umeshakwisha, Na timu kama Namungo tayari imeshaathirika kwa maamuzi mabovu kabisa ya mwamuzi
Je, Bodi ya Ligi inawanufaisha vipi Namungo fc ambao tayari wameshaathirika kwa kucheza pungufu kwa masaa yote ya mchezo yalitobakia?
Je, Mwamuzi amechùkuliwa hatua gani?
MAONI.
5imba sc wanyang'anywe alama 3 na aidha zigawanywe au zote apewe Namungo fc.
Mwamuzi apewe adhabu kali ikiwemo kufungiwa moja kwa moja, viboko 12 pamoja na kushrakiwa kwa tuhuma za rushwa