Kamati ya mashindano ya kombe la Mapinduzi inahujumu mashindano na kuyafanya yawe kituko mbele ya mataifa mengine yaliyo serious na kukuza soka

Kamati ya mashindano ya kombe la Mapinduzi inahujumu mashindano na kuyafanya yawe kituko mbele ya mataifa mengine yaliyo serious na kukuza soka

Instructions ndiyo mtihani wenyewe. Ukishafeli kuyaelewa maelekezo na kila kitu umekosa.

Mtu anazungumzia Mapinduzi wewe unaleta za tff. Yeye akusaidieni nini!

Kwanini usianzishe thread yako ukawahoji hao Tff.

Nb: Unakuwa na akili za kijinga kama shabiki wa Yanga ambao kila ukiongea nao ilikuwaje wakatolewa mapinduzi cup jibu lao tuliwafunga simba 5 sasa unashangaa kuna uhusiano gani
Mleta mada ameshanijibu wewe shabiki wa simba nini unakasirika au na wewe upo tff ?
 
Back
Top Bottom